Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,126
1st Dot:
DP World Foundation hata kabla Watanzania hatujajua mkataba uliosainiwa wa kupora Bandari zetu wakakimbilia Mbeya kugawa Futari mwezi mtukufu wa ramadhani uliopita.
2nd Dot:
DP World Foundation wamekiri wazi kuwa specifically walichagua mikoa miwili ya kugawa "Futari" zao, kwa Tanzania Bara ni Mbeya na mkoa mwingine Zanzibar!
3rd Dot:
Spika wa Bunge letu Tulia Ackson anatokea Mbeya !
4th Dot:
Learned Counsel and the Hero Boniphace Mwabukusi anatokea Mbeya.
5th Dot:
Case ya Mkataba batili wa " kuuza" Bandari zetu imefunguliwa na kusikilizwa Mbeya.
6th Dot :
Former TISS Boss and the Patriot, the Late Apson Cornel Mwang'onda alitokea Mbeya.
Kwa elimu ndogo ya ku- connect dots niliyopata kutoka kwa Professor Larry Sabato wa Virginia States University kule Marekani naweza kuandaa taarifa kutokana na hizi dots 6!
Ni dhahiri suala la Mkataba batili wa Bandari unatoa " horrible smell " ya RUSHWA!
DP World Foundation hata kabla Watanzania hatujajua mkataba uliosainiwa wa kupora Bandari zetu wakakimbilia Mbeya kugawa Futari mwezi mtukufu wa ramadhani uliopita.
2nd Dot:
DP World Foundation wamekiri wazi kuwa specifically walichagua mikoa miwili ya kugawa "Futari" zao, kwa Tanzania Bara ni Mbeya na mkoa mwingine Zanzibar!
3rd Dot:
Spika wa Bunge letu Tulia Ackson anatokea Mbeya !
4th Dot:
Learned Counsel and the Hero Boniphace Mwabukusi anatokea Mbeya.
5th Dot:
Case ya Mkataba batili wa " kuuza" Bandari zetu imefunguliwa na kusikilizwa Mbeya.
6th Dot :
Former TISS Boss and the Patriot, the Late Apson Cornel Mwang'onda alitokea Mbeya.
Kwa elimu ndogo ya ku- connect dots niliyopata kutoka kwa Professor Larry Sabato wa Virginia States University kule Marekani naweza kuandaa taarifa kutokana na hizi dots 6!
Ni dhahiri suala la Mkataba batili wa Bandari unatoa " horrible smell " ya RUSHWA!