snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,710
- 23,646
the issue sio uzuri na ubaya peke yake,unajua mara nyingi kunapokuwa na hizi kesi yule aliyekosewa hujilaumu na kuona pengine yeye ndo tatizo,ni watu wachache sana wakiwa cheated hupeleka lawama kwa wenzi wao,yani a peerson awe anajitambua na kujiamini katika upekee wake yeye kama mwanaume au mwanamke,wengi hukimbilia kujion wao ndo wana tatizo,ikiwa ni mwanaume ataanza kujiuliza kuhusu uwezo wake kifedha kielimu,kimapenzi,kimwonekano nk,kwa wanawake asilimia kubwa hukimbilia kujiangalia maumbile,wakiamini inawezekena maumbile yao hayavutii,sio wajuzi kitandani,na vitu vingine sasa ndo mana nimesema it really does matter!though kosa ni lile lile lakini wen in t cums to security ya huo upendo na hayo mahusiano wengi hukuimbilia kuhisi hawawezi kucompete against,na kubaki kwenye hayo mahusiano kutegemea huruma tu ya mwanume au ya mwanamke,kumbe kimsingi aliyekusaliti amekusaliti tu haijalishi amekusaliti na nani,ubaya au uzuri wako sio sababu ya kukuumiza.Akikuzidi uzuri inaimply nn?
Na akiwa mbaya?