PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
So, niko hospital na huyu Jamaa ambaye naweza kusema ni rafiki muhimu sana kwangu. Tunaendana kwenye baadhi ya mambo ila ana hii tabia ambayo si nzuri kwa kweli na nimesha jaribu kumuonya(at least kila mtu wa karibu kafanya hivyo) ila ndo vile dunia yake chaguo lake. Kwa hiyo nika'turn blind eye to his habit'. Tabia ya kutoka na huyu mdada wa kazini kwetu huku nyumbani ana mke. Cha kushangaza mkewe alishanibana sana nimpe hint kama mumewe ana smol haus, nikamjibu-majibu ya mahusiano yenu anayo mumeo u should ask him(kwa hiyo secretly nilihisi kama mkewe anajua ila hamjui mhusika).
Sasa bwana gafla wakaja mkewe na huyo mdada wa job wameleta chakula kwa jamaa kwa mida tofauti ila mkewe ndo alimkuta bi shosti eneo la tukio. Nikawa nimemkinga jamaa kwa sababu ni mgonjwa (alisukumwa kidogo tu na gari akaangukia mkono, so kuna some sort of a fracture) ili kimbembe kikianza wasije umalizia huo mkono. Basi wadada wenyewe hawapigani wala kusemeshana ni mifyonzo na kuangaliana with a kill wish mwanzo mwisho.
Honestly I was suprised kwamba mke ameshajua(au alikuwa anajua) and dont care enough to show!
Basi ikabidi nimshindikize wife wake hadi home baada ya sisi wote kukickiwa out of hospital ili hao wadada wasijepigana huko njiani na hiyo ni baada ya mke kwa 'bahati mbaya' kumwaga chakula alicholeta yule dada . Ndani ya gari huyu mke wa jamaa anamponda huyo smol haus.
small haus gani mhudumu wa chai, nyuma pasi (if u know what she means), sura mbaya kisha hajui kuvaa, mchafu!
So profile ya mwizi wako wa mahusiano inajalisha kwenye decision za nini ufanye baada ya kugundua?
Sasa bwana gafla wakaja mkewe na huyo mdada wa job wameleta chakula kwa jamaa kwa mida tofauti ila mkewe ndo alimkuta bi shosti eneo la tukio. Nikawa nimemkinga jamaa kwa sababu ni mgonjwa (alisukumwa kidogo tu na gari akaangukia mkono, so kuna some sort of a fracture) ili kimbembe kikianza wasije umalizia huo mkono. Basi wadada wenyewe hawapigani wala kusemeshana ni mifyonzo na kuangaliana with a kill wish mwanzo mwisho.
Honestly I was suprised kwamba mke ameshajua(au alikuwa anajua) and dont care enough to show!
Basi ikabidi nimshindikize wife wake hadi home baada ya sisi wote kukickiwa out of hospital ili hao wadada wasijepigana huko njiani na hiyo ni baada ya mke kwa 'bahati mbaya' kumwaga chakula alicholeta yule dada . Ndani ya gari huyu mke wa jamaa anamponda huyo smol haus.
small haus gani mhudumu wa chai, nyuma pasi (if u know what she means), sura mbaya kisha hajui kuvaa, mchafu!
So profile ya mwizi wako wa mahusiano inajalisha kwenye decision za nini ufanye baada ya kugundua?