Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ndio alicho kitaka bwana yuleNaona wajumbe wamenywea tofauti na mikutano ya miaka iliyopita
Ndio alicho kitaka bwana yuleNaona wajumbe wamenywea tofauti na mikutano ya miaka iliyopita
Hakuna kitu kama hichoJamani mkutano wa ccm unafatiliwa kwa karibu na wafuasi wa vyama vyote aiseeee
Makada wa chama cha magamba mliopo huko naomba mmwambie Polepole aache kurusharusha mikono wakati akiongea...ndo uongeaji gani huo kurusharusha mikono kama dictator Mussolini
Wadhamini wa chama........kazi yao ni nini??
Wote ni wenyeviti...kama zinavyodumu za mh. mbowe...
Inaelekea chama kimeshika tena hatamu!!!Kwani TBC ni ya ccm au ya taifa....?
Ngada ya mwenyekiti imeharibu ubongo wakoSasa tunaburudishwa na taarabu kutoka pemba
MkuuuuuuuHebu angaza angaza uone kama bwana yule yumo?
Habari waungwana,
Leo habari kubwa ni mkutano mkuu 'Maalum' wa chama cha mapinduzi ambao cheche zake zilianza jana kwa makada kadhaa kupewa adhabu ikiwemo kuondolewa chamani. Tuwe sote pamoja nikujuze yanayojiri katika mkutano mkuu maalum wa chama cha mapinduzi.
=======
Akizungumza mbunge wa Nzega, Hussein Bashe amegoma kuzungumzia yeye kushikiliwa na polisi hapo jana na kusema suala hilo kamuachia katibu mkuu wa chama hicho, Abdurahman Kinana. Alipoulizwa kama ana hofu ya kutimuliwa chamani, amedai hana hofu hiyo kwani hayo mambo hufanyika kwa utaratibu.
Katibu wa uenezi wa chama cha mapinduzi, Humphrey Polepole amesema CCM inatarajia kujenga chuo kikuu kwa ajili ya kufundisha makada wa chama hicho.
Kinachoendelea kwa sasa ni utambulisho wa wageni mbalimbali waliohudhuria hasa mabalozi wa nchi mbalimbali waliofanikiwa kufika katika mkutano huo, pia mwakilishi wa msajili wa vyama vya siasa nchi.
Pia wametambulishwa wadhamini wa chama cha mapinduzi, wake za wake wa viongozi ikiwemo Karume, Kawawa, Ali Juma, Salma Kikwete na wake wa viongozi wa sasa ikiwemo Mary Majaliwa, Mwanamwema Shein, Janet Magufuli.
Yupo pia Pandu Kificho, Anna Makinda, manaibu makatibu wakuu wastaafu.
Kwani umeobwa mkuu?Mbona bunge walikataa tusione na mkutano wao hatutaki kuuona pia. Siwezi kupoteza unit zangu za luku kuangalia huo mkutano.
Wajumbe wamegoma kushangalia hadi imebidi Polepole kutoa ahadi ya zawadi kwa wajumbe watakaoshangilia zaidi.
Naona wajumbe wameamua kususa.