Kujenga taifa kwa hoja za kupunguza kodi za pad za akinamama? Kweli bunge la tz ni la ovyo kuliko maelezo.Pole sana Mh. Kubenea. Tuwe wapole, sote duniani hapa tunapita, muda wa kulumbana eti mara hamuiamini serikali ni utoto, tujikite na issue za kulijenga taifa letu. Tunakutakia uponaji wa haraka Mh.
Mbn km una haraka yani ulichoandika hakieleweki kbsaTunamuombea apone jamani
Ila hizi siasa zao za kudanganya sio za mchezo mchezo wakiwafika shingoni hao wanabuma.. Mawazu mengi, kuishiwa ya kutunga kuvuta wafata mikumbo.. n.k.
Mjibadilishe maana hata kula hamli
Acha kumfananisha kubenea na wajinga haoHivi Tanzania hatuna watu wa maana mpaka kuwapeleka bungeni zaidi yq kina Kibenea kibajaji na bwege? Huyu ni majanga hajui yupo Dodoma kufanya nini.
Albadili kesho mkuu,labda kama imeanza kufuka moshi.Au Albadri inayosomwa imeanza kazi?
Watu wasiojulikana?Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea, ameugua ghafla na kupumzishwa Hospitali mjini Dodoma leo
==============
By Sharon Sauwa, Mwananchi
Dodoma. Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika zahanati ya Bunge.
Katibu wa wabunge wa Chadema, David Silinde amesema leo Alhamisi jioni kuwa mbunge huyo alikwenda katika zahanati hiyo baada ya kujisikia vibaya.
“Alijisikia kukosa nguvu akaenda katika zahanati hiyo, amepumzishwa na sasa hivi ndio anasema ni simu yake ya kwanza kuongea nayo tangu apumzishwe. Ndio kwanza amekaribia kumalizia dripu,” amesema Silinde.
Hata hivyo waandishi wa habari walipofika katika zahanati hiyo hawakuruhusiwa kumuona na badala yake wauguzi walisema amepumzika.
Daktari wa zahanati ya Bunge, Dk Noel Solomoni amethibitisha kupumzishwa kwa mbunge huyo tangu saa 10 jioni leo.
Hata hivyo, hakuwa tayari kueleza zaidi kama alifikishwa ama alikwenda mwenyewe katika zahanati hiyo iliyopo ndani ya Bunge.
Chanzo : Mwananchi
Mkuu, umeonyesha kaunafiki... UNAMUIMBEA APONE, HALAFU UMEMALIZIA NA NENO kutunga...Tunamuombea apone jamani
Ila hizi siasa zao za kudanganya sio za mchezo mchezo wakiwafika shingoni hao wanabuma.. Mawazu mengi, kuishiwa ya kutunga kuvuta wafata mikumbo.. n.k.
Mjibadilishe maana hata kula hamli
Anatafuta tu Kiki huyoMbunge wa Ubungo Saed Kubenea, ameugua ghafla na kupumzishwa Hospitali mjini Dodoma leo
==============
By Sharon Sauwa, Mwananchi
Dodoma. Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika zahanati ya Bunge.
Katibu wa wabunge wa Chadema, David Silinde amesema leo Alhamisi jioni kuwa mbunge huyo alikwenda katika zahanati hiyo baada ya kujisikia vibaya.
“Alijisikia kukosa nguvu akaenda katika zahanati hiyo, amepumzishwa na sasa hivi ndio anasema ni simu yake ya kwanza kuongea nayo tangu apumzishwe. Ndio kwanza amekaribia kumalizia dripu,” amesema Silinde.
Hata hivyo waandishi wa habari walipofika katika zahanati hiyo hawakuruhusiwa kumuona na badala yake wauguzi walisema amepumzika.
Daktari wa zahanati ya Bunge, Dk Noel Solomoni amethibitisha kupumzishwa kwa mbunge huyo tangu saa 10 jioni leo.
Hata hivyo, hakuwa tayari kueleza zaidi kama alifikishwa ama alikwenda mwenyewe katika zahanati hiyo iliyopo ndani ya Bunge.
Chanzo : Mwananchi
Unaleta mambo ya kipuuz ktk masuala muhimWamuwahishe Nairobi kwa sababu za kiusalama.