Nimepita maeneo mbalimbali ya dodoma mjini kuhoji watu kuhusu utendaji kazi wa mbunge wao mh.malole kupitia ccm na nimehoji wato 97 katika watu hao watu 73 wanasema mbunge wao hafanyin lolote tangu alipochaguliwa ni bora wangekaa bila mbunge kwani hana faida kwao.watu 21 niliowahoji katika kitongoji cha njedengwa palipobomolewa nyumba siku chache zilizopita wamesema mbunge waliemchagua hakuonekana kabisa katika kuwasaidia wananchi wake tofauti na ahadi zake wakati wa kampeni kwamba angekuwa pamoja na wananchi hasa katika wakati wa shida.
Naomba kuwasilisha jamvini kwa wadau.
Naomba kuwasilisha jamvini kwa wadau.