Lowassa alikuwa ana usaka urais kwa njia ya kimafya,matunda yake ndiyo yameanza kujitokeza,kama Lowassa ana nia nzuri na chama chake na watanzania kwa ujumla,ana takiwa atoe tamko kukubaliana na kile kilichotokea na awashawishi wafuasi wake wakubaliane na matokeo na waache kufanya fujo.
Lowassa alikuwa ana usaka urais kwa njia ya kimafya,matunda yake ndiyo yameanza kujitokeza,kama Lowassa ana nia nzuri na chama chake na watanzania kwa ujumla,ana takiwa atoe tamko kukubaliana na kile kilichotokea na awashawishi wafuasi wake wakubaliane na matokeo na waache kufanya fujo.
Umemuelewa au umemjibu tu kwa mazoea ?
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?[/QUOE]
kwan walikatazwa kujoin jf?
Wamtoe membe kwanza.. Ni upuuzi kutoa watu wenye uwezo na kuacha vilaza
Wamtoe membe kwanza.. Ni upuuzi kutoa watu wenye uwezo na kuacha vilaza