DODOMA: Katibu wa CCM, Bashiru Ally kumuita Waziri anayemiliki ekari 1000 za mashamba kueleza alizipataje

ndani ya ccm kila mtu ni mpiga dili.mkuu wa mkoa wa dar kaagiza vitu vya mamilioni nje kwa jina lake na wala hajaitwa.bashiru aache kujipendekeza. ccm kujimilikisha mali ndo yenyewe.
 
Sio vibaya kumiliki hizo heka muhimu zimeanadliwa kwa matumizi husika na kama kajipanga kwa kilimo na upatikanaji wake kama ulifuata taratibu itakua vip utahimiza kilimo bila kuwa na shamba!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eka 1000 mnaona ni nyingi...lets be serious jamani..Kenyatta family wanakaribia eka milioni moja..kwa upande wangu mtu kuwa na eka 1000 naona ni kawaida sana..hasa kwenye zama hizi za ubepari. Nafikiri kosa la waziri liwe kama haziendelezi...
 
Wewe Ni Mjinga Halafu hujui Kama Mjinga

Azimio la Arusha halikuwahi Kuwa kwenye katiba Na kulifuta halikuhitaji katiba Mpya

Katiba haibadilishwi Kama unabadilisha sabuni ya kuogea

Kenya wana Katiba Mpya Na Jaji aliefuta Matokeo ya ushindi wa Kenyata fuatilie kinachomkuta anaitwa Mama Mwiru
We ndo jinga jinga
Azimio LA arusha lilitokana na siasa ya ujamaa, kulifuta azimio LA arusha bila kubadili itikadi in contradiction, ndo maana katibu wenu anaonekana kituko kushangaa MTU kumiliki acre 10000
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt. Bashiru Ali amesema atamuita mmoja wa mawaziri anayedaiwa kumiliki ekari 1,000 za mashamba ili amueleze alizipataje

Bila kutaja jina la Waziri huyo, Dkt. Bashiru amesema atamtaka Waziri huyo achague kitu kimoja kuwa mporaji wa ardhi ya wanyonge ama kiongozi

Katibu huyo ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akifungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Taifa(UWT)

Alisema "Nilienda katika eneo moja wananchi wanajiuliza Waziri huyo amepataje ardhi hiyo nitamuita Waziri huyu aeleze amepataje eneo hilo kwa sababu CCM hawezi kuwa na viongozi waporaji wa ardhi."
Ni vema Bashiru akajikita na yanayomhusu.
Hatupo kwenye Enzi za Ujamaa, sasa ni zama za soko huru.
Kama Bashiru anafikiri ana ubavu wa kufanya hiyo aanze na wale wazee wenye "vijisenti" hata huko nje ya nchi, kama Mtemi Andrew Chenge.
Nahisi Bashiru anaanza kumega ugali atakaoshinwa kuutafuna.
 
Ardhi ni mali ya umma chini ya usimamizi wa Rais.
Nina wasiwasi hiyo ardhi haitumiki...
Ni kosa ku odhi ardhi...angekuwa analima sidhani kama kuna ambaye angemgasi...
Safi sana Dk Bashiru...hatutaki watu selfish.
 
Huyu Dr. Bashiru ni type ya Nyerere, bado anadhani CCM hii ni ile ya Nyerere ya Azimio la Arusha, kwanza apewe semina kuhusu Azimio la Zanzibar, na akimalizana na huyo waziri, aende kile kijiji cha royal village, nako sio tuu akaulize ardhi imepatikanaje, bali pia aulize hayo majumba yamejengwa kwa fedha kiasi gani na zimepatikanaje, na kumalizia kuulizia ile hoteli ya ghorofa ya nyota 4 ilioota hapo kama uyoga yenye floor ya marble na samani imported za pure leather zimepatikanaje?, na asije kudanganywa ni eneo la ukoo, wahamiaji huwaga hawanaga maeneo ya ukoo!.

P.
Naskia pale royal village ndio wamezaliwa babu na babu yake kwahiyo muhamiaji haramu karithi toka kwa mababu,kuhusu gharama za ujenzi nayo ni pesa ya urithi babu yake aliacha.
Familia yao matajiri sana hujaona juzi akikagua shamba la nyanya pori ambazo hata ndoo 2 hazijai.
Tutaona mengi mpka 2025 unaweza sikia royal village kunajengwa bandari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comrade Bashiru, hapo unataka kurudisha mfumo wa ujamaa, kumbuka kundi kubwa la watanzania ambao wengiwao ni vijana hatutakuelewa kabisa. Sera za kuulizana mali zilishapitwa na wakati. Tuko kwenye zama za uliberali/ubepari. Na moto wa ubepari umeishasambaa kwenye roho za watanzania wengi. Usilete tena mambo yaliyowashinda wana CCM zamani. Kwanza unatumia sheria zipi za nchi za kutaka kunyang'anya uongozi kiongozi kisa mali.
 
Mbona na mimi nina hekari 1000 na zaidi ,huku kwetu kijijini hekari moja shs 100,000/= unanunua tani yako .Kama mtu Dar anaweza kununua nyumba au kiwanja kwa shs 450m ndio hekari 1000 kijijini kwetu.
Tatizo la yeye Bashiru, anadhani izo hekari 1000 zipo posta dar es salaam. Iyo mihekari ukienda dodoma, tabora na Lindi unapata tuuu. Tatizo mtu ananunua sehemu anatengeneza panakuwa na thamani mnaanza figisu. Mfano mzuri pale mlimani city pametengenezwa serikali inaanza figisu
 
Huyu Dr. Bashiru ni type ya Nyerere, bado anadhani CCM hii ni ile ya Nyerere ya Azimio la Arusha, kwanza apewe semina kuhusu Azimio la Zanzibar, na akimalizana na huyo waziri, aende kile kijiji cha royal village, nako sio tuu akaulize ardhi imepatikanaje, bali pia aulize hayo majumba yamejengwa kwa fedha kiasi gani na zimepatikanaje, na kumalizia kuulizia ile hoteli ya ghorofa ya nyota 4 ilioota hapo kama uyoga yenye floor ya marble na samani imported za pure leather zimepatikanaje?, na asije kudanganywa ni eneo la ukoo, wahamiaji huwaga hawanaga maeneo ya ukoo!.

P.

Unisamehe kwa kutokujua kwangu, nime Google "royal village" nimeambulia patupu. Msaada jamani Hilo ni eneo gani nchi hii
 
Back
Top Bottom