Dodoma: Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua Bunge la 10, Nov 2010

kamaliza viwanda, sasa madini
walirekebisha mikataba ya madini na sasa jamaa wanalipa kodi.
hapa ilitakiwa hawa waliosaini mikataba hii wakamatwe, lakini JK hasemi hayo
 
Because you choose to let some theological lawyer to think for you. Umekuwa STAN, ndio maana huelewi vitu rahisi.
Kuna kipi rahisi ambacho naweza kumuelewesha bibi yangu kule kijijini akaelewa kwa nini maisha ni magumu.
 
What a relief; we were waiting for this moment, thank CDM, you didnt let us down. ...Together tunawakilisha sauti ya ukombozi wa Mtanzania
 
Kama wabunge wa Chadema wamekula kiapo cha kuitambua katiba, then wanamtambua Rais. Maneno ya kutokumtambua ni siasa tu za barabarani, na itadhihirika leo kwa sababu watakuwepo kumsikiliza Rais wa nchi.
Ewe mwanachama usidanganyike! "akili za kuambiwa,...".

Kiapo ni kwa katiba na nchi na ai kwa Raisi. Ndiyo maana ya Jamhuri na si Ufalme. Hivyo wananchi wanahaki ya kumpinga Raisi ikiwa ni pamoja na kumsusa, kumsusia na kutomtambua kama amepata madaraka kwa wizi kama ambayo kikwete amefanya.
 
JK anampokenza AM na SS na anasema wameonyesha wao hawako Gender Biased......Haingalii CCM top Members wote ni wanaume including yeye.....May be 2015 CCM watatoa Mgombea Mwanamke na Hence atakua M/kiti wa Chama
A/tibaijuka
 
yaahi hotuba haina kipya anarejea yale yale

tumetunga sheria mpy......
uchumi unakua sasa kwa % 7........

na bla bla zinggine
 
Tuache hayo jamani jk anaongea nini sasa!???

anapiga soga,anaongea na watu wa pwani na baadhi ya waCCM. No data no reference. Anataja maneno ya kiswahili kwa umahiri mkubwa,ila kitu kiitwacho 'points' nadhani kaacha nyumbani. Kidogo kipya kasema anataka kujenga hotel za kitalii!!
 
tumefanikiwa kurekebisha mikataba ya makampuni makubwa na wameanza kulipa Kodi, tumetunga sera mpya na sheria mpya........ CCM daima

Kwa manufaa ya nani?..yenu au yetu sote?
 
Bulding capacity for STAMICO to actually doing some mining & Processing. Sort like Petronas with Oil in Malaysia. Dude speaks like he has been there. He knows the challenges. SLaa yeye anaongea ufisadi, ufisadi. As if that is our silver bullet
 
Jamani tunazungumzia wabunge wa chadema kutoka au baadhi ya wabunge wa chadema? Mbona sielewi mantinki ya hii post ya Khoty????

Elewa Chiliwe waliotoka ni wabunge wa chadema wakiongowa na wanachadema walioingia bungeni kindugu na kutuambia wanatoka kwa sababu wanawakimbia mafisadi wakati wanaotoka ni mafisadi wanaooooongozana.... Tusidanganyanye CHADEMA hawajakomaaa kisiasa ndio maana mwenyekiti, na uongozi mzima wakisema tutoke anaefuata ni mdogo wake ambaye kaingizwa bungeni kupitia mgongo wa kaka ama mjomba nae anatoka...... CHADEMA hawajakomaaa kisiasa....
 
serikali yake itawasaidia wajasria mali wadogo kwa kujenga yale machinga coplex dar,mwanza na mikoa mingine, mipango imekamilika
 
....Sisi katika CCM tunawashukuru ndugu zetu hawa wa vyama vya upinzani kwa kutupa changamoto katika uchaguzi huu ulioisha. Tumejifunza tumeteleza wapi, na tunajipanga kuvirudisha viti tulivyovipoteza na kuongeza vingine zaidi. Tunawashukuru kwamba mmetushtua mapema na kutupa fursa ya kujipanga
upya wakati bado tukiwa ni Chama tawala.

Hahahah wamejifunza wametelezza wapi lakini hawajipangi kurudisha imani ya wananchi ya majimbo waliyopoteza bali wanajipanga kurudisha viti

Halafu Paragragraph hiyo juu ina ji contradict na hii hapa chini

......Narudia tena shukrani zangu kwa wananchi kwa kunirejesha mimi na Chama Cha Mapinduzi katika uongozi wa nchi yetu. Maelezo yake ni ya aina tatu tu. Kwanza, ni kwamba Watanzania wanaienzi na kuithamini rekodi na historia ya Chama chetu katika dhamana ya uongozi wa nchi yetu. Pili, wameridhika na kazi tuliyoifanya na mafanikio tuliyoyapata katika kipindi cha miaka mitano
iliyopita. Na, tatu, wamekubaliana na hoja tulizozitoa kwenye kampeni kote nchini, na wana imani, juu ya mipango yetu
ya kukabiliana na changamoto za nchi yetu na kusukuma gurudumu la maendeleo kama tulivyoahidi kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka huu........
Lets assume kweli alishinda. hivi kweli JK amefanya analysis ya kutosha kwa from 80% to 61% na kuweza kujipa sifa zote hizi

......Naomba pia muwape ushirikiano unaostahili Mawaziri nitakaowateua. Nisaidieni kuwashtua watakapokuwa wanasuasua, lakini pia wapongezeni wakifanya vizuri.......

Hiki ni kituko kingine. Serikali yake mwenyewe na kwa baraka zake iliwapeleka mahakamani Chenge na Mramba. Kama yeye mwenyewe kama mwenyeiti wa chama alishindwa kutupa wabunge asiokuwa na imani nao kwenye chama chake iweje aombe msaada wa wabunge.!!!
 
Back
Top Bottom