Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Na unafundisha nini hasa Mwalimu?I didn't mean a reader as the one who reads books et al. I meant a reader as a lecturer/professor at a public/private University.
Na unafundisha nini hasa Mwalimu?I didn't mean a reader as the one who reads books et al. I meant a reader as a lecturer/professor at a public/private University.
I didn't mean a reader as the one who reads books et al. I meant a reader as a lecturer/professor at a public/private University.
Sifa jisifie, wasiokuweza wachukie.
Unaweza sana! hadi umenifanya mimi Mwali nikuombe namba za sim? hiyo ni convincing power ya nguvu! lolHuku niliko napatikana kwa kutumia radio call,e-mail na JF tu nishasahau matumizi ya cellphone kabisa..Nikija mjini ntawawekea wazi kabisa.Vipi kwa maelezo hayo naweza kuwa mwanasiasa au siwezi binti Mwali???
nilifikiri ungesema kunipata mimi ndo unajivunia....
niko dissapointed now lol
Kakufanyaje Michelle? lolKwanini unanifanyia hivi The Boss mimi mtoto wa mwanaume mwenzio???
Yaani siku nikifanikiwa nahisi nitaboreka na ku-dissappear kimoja.....sipendi hata kukuona basi tu...lol!
Kwanini unanifanyia hivi The Boss mimi mtoto wa mwanaume mwenzio???
Yaani siku nikifanikiwa nahisi nitaboreka na ku-dissappear kimoja.....sipendi hata kukuona basi tu...lol!
Huo mstari unasisitiza kitu gani if you don't mind...
iv bn great bigy sisy!
Tunapishana sana tu hapahapa....
Mmmh umenifurahisha hapo kwenye lips, unajua huo ni ugonjwa wangu lol
nina collection ya movie za Angelina Jolie just to watch those lips!
Mi bwana nmefanikiwa kufika Zenji baada ya mipango ya mda mrefu.
Am clapping my hands for you.
Hongera bana...kujipa mapumziko kama hayo muhimu.nmeikubali....
Nmeweza kuja kupumzika Zenji,
nilipanga hichi kitu kwa miaka kadhaa!
Kakufanyaje Michelle? lol
AMEN dearest, you help me with my problems and i will be the best....that i promise.....you are a great lady too and thats why i gave you the job to do....God Bless you more dear....pamoja saaaaaaaaaaaaaana mpaka kieleweke....!
be careful on what you wish for ...lol
hivi unajua kila nikikusoma huwa nashtuka?
unajua why?
ukichukua herufi tano za hii id yako
ndo zinatengeneza my first name.......kwangu mimi ambitious is my name....
Tema hapa nimchape. Alafu mi najua dawa yake huyu. lolYaani Mwali (twin sisy wangu wa ukweli), psychological torture and disturbance.....!
Wewe kama ni pacha wangu utakuwa unajua alichofanya....mwambie vibaya hivyo....:smash:
hahahaha.... I like this! Bragging at it's best! lol.... Gat to meet you Learned.... I bet you physique is Learned too....:biggrin:
Nimeipenda hii wajameni, haya nakusifia "bonge"...
Nmefanikiwa kula urojo wa forodhani lol
And ambitious you must be.Lucky you. Ningekuwa na cheti cha kuzaliwa cha hospitali ningebadilisha nijiite kama wewe ila haya majina ya kupewa na waganga hayabadiliki kwanza ni mwiko kayabadilisha.The boss am happy to have the same name as you though in two different forms of existence mine being JF only.
Tema hapa nimchape. Alafu mi najua dawa yake huyu. lol