AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Habari wana JF .. oa
Kuna ule msemo ama kasumba katika Jamii kua Mwanadamu inatakiwa asifiwe na sio kujisifia.... Sasa kutokana na adha na kero ambazo zipo zimetuzunguka zikiendeshwa na maisha yenyewe yalivo magum na Uongozi wa magulumashi, watu tumesahau kabisa kutoa sifa kwa wenzetu na wao kwetu (hasa tunapostahili); Kwa mktadha huo natoa nafasi ya kila mmoja atae jisikia ajidai/jisifu na kujikubali kwa lile ambalo hata yeye anaona anastahili kusifiwa.... Hivo basi NAKUULIZA ulopita hapa.....
Do you have guts??? Baaas "Brag" a bit!! lol
P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe .(ADI)