Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Stergomena Lawrence Tax ametembelea Chuo cha Ukamanda na Unadhimu wa Jeshi kilichopo eneo la Duluti Mkoani Arusha na kujionea kazi zinazotekelezwa na chuo hicho.