OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,363
- 104,412
Hakika muda ni jibu,leo hii mwanademokrasia @Dr.W.P.Slaa anaongoza kongamano la kumsifia dikteta aliyekandamiza demokrasia na hata kudhuru wengine.
Mtu kusifiwa baada ya kufa ni sahihi,maana akiwa hai anaweza kukusaliti muda wowote
Mtu kusifiwa baada ya kufa ni sahihi,maana akiwa hai anaweza kukusaliti muda wowote