Dkt. Mwigulu Nchemba amtangaza mrithi wake jimboni

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Apr 6, 2021
265
241
Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.

 
Ikifika msimuu huo jina lake halitoandikwa tu kwenye mawe hadi kwenye lamiii

ila wajumbe watu wabaya sanaaaa...usishangae akaenguliwa ndani ya dakika 5 za mchakato
 
Na usishangaye huyo dada akaja kurithi Jimbo kweli. Maana majimbo yashageuka kuwa falme za watu. Wadanganyika amkeni.

Imetokea sehemu nyingi
-Samweli Sitta kamruthisha mkewe
-Profesa nani nani huko Iringa aliwahi kuwa waziri wa fedha alipofariki mtoto kapewa Jimbo

Na wengine wengi
 
Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.

View attachment 2112131
Mambo ya kumpapasa bega tena?

IMG_20211029_105959.jpg
 
Na usishangaye huyo dada akaja kurithi Jimbo kweli. Maana majimbo yashageuka kuwa falme za watu. Wadanganyika amkeni.

Imetokea sehemu nyingi
-Samweli Sitta kamruthisha mkewe
-Profesa nani nani huko Iringa aliwahi kuwa waziri wa fedha alipofariki mtoto kapewa Jimbo

Na wengine wengi
Ila dada mwenyewe hawezi hata kujieleza! Kazi vijembe tu!
 
Back
Top Bottom