Poleni sana. Bora sie tuna mganga wa kienyeji aliyefika darasa la saba kwa mbinde. Huyu Mzee pamoja na PhD yake anayofanya ni chini ya wa kwetu!Mzee anatudhalilisha sana watu wa mbeya.
hiyo kwenye avatar yako kwetu tuanita MASOOMAKwani ye hajipendi au mnataka na yeye akaulize naswali ya nyongeza kama Nape
Lowassa aliitwa akaweka mpira kwapaniWe mpuuzi siku nyingine usiwe unaandika vitu usivyovijua vyema. Tume ya Mwakyembe haikuwahi kumuita Lowassa kwa mahojiano.
WanaJF,
Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo amejibu swali la waandishi kadhaa wa habari waliomhoji mapema leo baada ya kuapishwa katika viunga vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mwakyembe amenukuliwa akisema maneno yafuatayo juu ya sakata hilo lililotikisha vichwa vya habari nchini kwa juma moja sasa.
"Ninachokijua kuhusu tukio la Clouds Media kinatokana na vyombo vya habari, sidhani kama taarifa hizo zinatosha mimi kutoa uamuzi"-Waziri Mwakyembe
Mzee anatudhalilisha sana watu wa mbeya.
WanaJF,
Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo amejibu swali la waandishi kadhaa wa habari waliomhoji mapema leo baada ya kuapishwa katika viunga vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mwakyembe amenukuliwa akisema maneno yafuatayo juu ya sakata hilo lililotikisha vichwa vya habari nchini kwa juma moja sasa.
"Ninachokijua kuhusu tukio la Clouds Media kinatokana na vyombo vya habari, sidhani kama taarifa hizo zinatosha mimi kutoa uamuzi"-Waziri Mwakyembe
Harrison Mwakyembe ni layman, so don't bother bruh!HIVI HILI JAMAA KUMBE NI LIJINGA NAMNA HII??? LINATUMIKA KAMA MPIRA UZEENI>>>
Ilidhuru ubongo na uwezo wa kufikiriSishangai na kauli yake. Kama alikana andiko lake sembuse uvamizi wa Clouds. Huyu bwana anaweza hata kukana kwamba yeye ni Mwakyembe. Unajua ile sumu ilimdhuru sana