joyce mngongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 890
- 971
Sio wanahabari tu,hata cc wananchi wengine,tunatakiwa kukesha tukiomba,kwakua akifungia vyombo vya habari tutaenezaje ubaya wa mwakyembe,magufuli na bashite? Huyo amefaulu mtihani wa magufuli,hata lile jambo la ufungaji wa ndoa nikomdi walilipanga,ili Leo atuaminishe watu walisema mwakyembe hatakuja kuapishwa,kuonyesha anamtii na kaja ! Yote anayoyafanya ss hakuna lakuamini hata moja ni komedi tupu !