Kwa hiyo majimbo mengine ruksa?Hiyo shule ni aibu kubwa kuwa kwenye jimbo la mpiganaji Kilango. Huo si upiganaji tena, badala yake unageuka kuwa usanii.
Nimeona mkuu analeta data za private candidate......yaani kilango awashike vichwa wanafunzi wasome?Usilete utani wala siasa zenu zilizojaa longolongo na majungu ktk suala nyeti kama elimu......jamaa anapindisha kwa makusudi!! Ina bore kichizi yaani.!
Bandugu........changamoto iliyoletwa na bangusule ni nzuri.....kwani ina-apply na sehemu nyingi tu Tanzania........swali la kujiuliza......je ni tuwatizame wabunge pale tunapofeli?.........
.....kwa maoni yangu....nafikir zinahitajika jitihda za kila mmoja wetu ktk kuhakikisha viwango vya elimu...vinakuwa.....everyone of us has a role to play.........
hivyo basi......ni vyema mkaji/tukaji-organise.....na kuelewa matatizo ya shule zetu ili tuzisaidie..........kunyoosheana vidole pekee hakutaondoa tatizo........
..........Bangusule tuambie wewe umefanya nini....au una mpango wa kuifanyia nini jimbo lako?.........
Haya ndio maneno na si kuingiza siasa za "ubunge" 2010 kwenye elimu!! Mie nadhani tatizo lipo kwenye familia kwanza...familia ambazo zimeweka msisitizo na kufuatilia kwa karibu masuala ya elimu ya watoto wao basi kwa kiasi kikubwa watoto nao wamekuwa wanafanya vizuri!! Na hiyo haijalishi ile socio-economic status ya hiyo familia, cha muhimu ni familia kuweka msisitizo na kujali......kwa bahati mbaya na kwa mtazamo wangu hicho ndicho kinacho-miss kwa kiasi kikubwa sana ktk familia nyingi nchini Tanzania!
Bandugu........changamoto iliyoletwa na bangusule ni nzuri.....kwani ina-apply na sehemu nyingi tu Tanzania........swali la kujiuliza......je ni tuwatizame wabunge pale tunapofeli?.........
.....kwa maoni yangu....nafikir zinahitajika jitihda za kila mmoja wetu ktk kuhakikisha viwango vya elimu...vinakuwa.....everyone of us has a role to play.........
hivyo basi......ni vyema mkaji/tukaji-organise.....na kuelewa matatizo ya shule zetu ili tuzisaidie..........kunyoosheana vidole pekee hakutaondoa tatizo........
..........Bangusule tuambie wewe umefanya nini....au una mpango wa kufanyia nini jimbo lako?.........
Hivi tunategemea tutainua kiwango cha elimu cha taifa letu bila kila mmoja wetu kupigania kuwa elimu katika jimbo lake ipewe kipaumbele? Badala ya kumbeza Bangusule, kila mmoja wetuanatakiwa kumuiga katika jimbo lake.
Kusema kuwa watanzania wamezoea spoon feeding ni kutowatendea haki. Nguvu za wananchi hazitafika mbali kama hazitaunganishwa na kuelekezwa kunakotakiwa. Wanaopaswa kufanya hivi ni wabunge ambao waliomba kazi hiyo ili walete mabadiliko katika hali ya wananchi wa jimbo lake na sii wale wa jimbo lingine. Kisingizio kuwa hali ya taifa ni duni kwa hiyo hawawezi kuleta maendeleo katika jimbo lao does not hold water. Kama ni hivyo, basi wananchi watakuwa na haki ya kuwatosa na kumweka mbunge ambaye hali duni ya taifa haitamzuia kupigania maendeleo kwa watu wa jimbo lake. Ukitaka uongozi basi kuwa kiongozi. Tunapenda mno kulaumu victims wa mapungufu yetu.
Amandla.......
FMES,
mpelekee mbunge malalamiko yetu, na mwambie ushirikiano uleule aliotoa ktk kujenga visima autumie kuinua elimu katika wilaya yetu. pia hizi changamoto asizichukulie kama ni vita dhidi yake. Mama Kilango akiyatatua matatizo haya, wananchi wake watamkumbuka na kumuenzi.
tunachotaka toka kwake, ni maelekezo kuhusu mkakati endelevu wa kushughulikia tatizo hili. wananchi/wazazi wana mwamko mkubwa wa elimu na ndiyo maana wanaendelea kupeleka watoto wao shule ingawa matokeo yanawaangusha.
rasilimali ya wilaya ya Same ni watu wake. watoto ndiyo hazina yetu. hatukubarikiwa dhahabu, almasi,au mafuta, kama maeneo mengine ya Tanzania. kwa msingi huo yeye kama Mbunge, huku akishirikisha wananchi anapaswa kuwa makini sana, tena sana, katika kuinua kiwango chetu cha elimu.
hali ya maendeleo katika wilaya ya Same imedorora tangu Dr.Mathayo na Anna Kilango wachaguliwe kuwa wabunge wa same magharibi na same mashariki. hali ya ELIMU ni mbaya sana. wilaya ya same imeshika mkia katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na ule wa kidato cha nne. katika suala la KILIMO ule mradi maarufu wa kilimo cha umwagiliaji Ndungu una hali mbaya sana. kuna maradhi ya mpunga yameingia na wakulima hawana msaada wowote toka kwa mbunge wao Anna Kilango. milimani upande wa Dr.Mathayo ukataji MITI na uharibifu wa MISITU ambayo ni vyanzo vya maji umezidi kuongeza. BARABARA ya mkomazi-bendera-ndungu-gonja-kisiwani-same bado ni kero kubwa kwa wananchi.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kuisifu wilaya yetu na kutuita "Wachina" wa Tanzania. nina hakika akifufuka leo na kushuhudia uongozi mbovu wa Dr.Mathayo na Anna Kilango, akaona na matokeo ya mitihani ya watoto wetu atageuza kauli yake na kutuita "VILAZA" WA KILIMANJARO.
hali ya maendeleo katika wilaya ya Same imedorora tangu Dr.Mathayo na Anna Kilango wachaguliwe kuwa wabunge wa same magharibi na same mashariki. hali ya ELIMU ni mbaya sana. wilaya ya same imeshika mkia katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na ule wa kidato cha nne. katika suala la KILIMO ule mradi maarufu wa kilimo cha umwagiliaji Ndungu una hali mbaya sana. kuna maradhi ya mpunga yameingia na wakulima hawana msaada wowote toka kwa mbunge wao Anna Kilango. milimani upande wa Dr.Mathayo ukataji MITI na uharibifu wa MISITU ambayo ni vyanzo vya maji umezidi kuongeza. BARABARA ya mkomazi-bendera-ndungu-gonja-kisiwani-same bado ni kero kubwa kwa wananchi.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kuisifu wilaya yetu na kutuita "Wachina" wa Tanzania. nina hakika akifufuka leo na kushuhudia uongozi mbovu wa Dr.Mathayo na Anna Kilango, akaona na matokeo ya mitihani ya watoto wetu atageuza kauli yake na kutuita "VILAZA" WA KILIMANJARO.
hali ya maendeleo katika wilaya ya Same imedorora tangu Dr.Mathayo na Anna Kilango wachaguliwe kuwa wabunge wa same magharibi na same mashariki. hali ya ELIMU ni mbaya sana. wilaya ya same imeshika mkia katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na ule wa kidato cha nne. katika suala la KILIMO ule mradi maarufu wa kilimo cha umwagiliaji Ndungu una hali mbaya sana. kuna maradhi ya mpunga yameingia na wakulima hawana msaada wowote toka kwa mbunge wao Anna Kilango. milimani upande wa Dr.Mathayo ukataji MITI na uharibifu wa MISITU ambayo ni vyanzo vya maji umezidi kuongeza. BARABARA ya mkomazi-bendera-ndungu-gonja-kisiwani-same bado ni kero kubwa kwa wananchi.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kuisifu wilaya yetu na kutuita "Wachina" wa Tanzania. nina hakika akifufuka leo na kushuhudia uongozi mbovu wa Dr.Mathayo na Anna Kilango, akaona na matokeo ya mitihani ya watoto wetu atageuza kauli yake na kutuita "VILAZA" WA KILIMANJARO.