LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Ccm watachota tu hazina..
Duh! kamanda hilo neno la nguvu ya Umma nimelimiss tangu 2015 Mwenyekiti alipokamilisha dili lake la kuisaidia CCM kusimamisha wagombea wawili wa URAISwakati Dotto anachota kutoka hazina yetu ya taifa kumlipia Iskariote Mashinji, sisi Watanzania tunachangia kutoka kwenye vibubu vyetu kwa ajili ya viongozi wa Chadema. nguvu ya umma!
mchotee tuWamebaki kuwaiga cdm kila wafanyacho. Usishangae wanawake wa ccm nao wakakutana mlimani city ili kujibu shambulizi la wanawake wa cdm juzi. Kweli ukizeeka unabaki kuiga tu.
ndiyo mkome hamna pa kuchota sasa mtafanyaje changeni tu la sivyo wanafungwa maana mbowe hela ya ruzuku yote ameshakulawakati Dotto anachota kutoka hazina yetu ya taifa kumlipia Iskariote Mashinji, sisi Watanzania tunachangia kutoka kwenye vibubu vyetu kwa ajili ya viongozi wa Chadema. nguvu ya umma!
Hao hazina ni mali yao kama wanavyochota za kununulia Wapinzani uchwaraMashinji hadi saa 4 ilikuwa imeshaingia Tsh. 50M ,kwenye simu ya pole pole
CCM ilikua haina haja ya kumchangia Mashinji hela, angetolewa hata kwa "MSAMAHA WA RAIS", ingekua njia rahisi. Tumeshazoea kuona "KATIBA YA NCHI IKILAWITIWA".
mtu mwenye akili ndogo hawezi kujua mantiki ya hii movement ya kuchangia, anachojua kina Mbowe ni masikini ndio maana wanachangiwa foolishTangu zamani tunaaminishwa kuwa Mbowe ni mtoto wa kishua aliyerithi utajiri wa kutisha. Tambo zake za kuzalisha wabunge wa viti maalum ni sababu ya kiburi cha pesa..! Lakini leo cha ajabu kwenye hukumu ya kumuuwa Akwilina, Freeman Mbowe amekosa million 70 ya kulipa faini hadi amepelekwa kulala Segerea , huku nyuma akiacha visebengo wa Sacco's yake wakihamasisha wananchi watoe hela zao kumchangia atoke!!!
Kweli Mbowe ni wa kuchangia ? Utajiri wake umeenda wapi?? Kweli wanachama hawako tayari kuchangia ujenzi wa makao makuu ya chama ila wako tayari kumchangia billionea Mbowe?
Huu utakuwa ni mwendelezo wa usanii wa DJ wa kubadili gia angani na kujifanya masikini ili apige hela za wasiojielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
kama wewe ni MATAGA haikuhusu!Umechangia kweli wewe?
God save us
wananchi tutachanga na Mbowe na wanamapinduzi wenzake hawafungwi ng'oo!ndiyo mkome hamna pa kuchota sasa mtafanyaje changeni tu la sivyo wanafungwa maana mbowe hela ya ruzuku yote ameshakula
nguvu ya umma inawang'oa MATAGA October. nyie fanyeni mzaha tu!Duh! kamanda hilo neno la nguvu ya Umma nimelimiss tangu 2015 Mwenyekiti alipokamilisha dili lake la kuisaidia CCM kusimamisha wagombea wawili wa URAIS
haya bawachaSio UWT, sema mashangingi ya ccm. Hata mngekuwa wengi kuliko watanzania wote, hiyo haiwezi kuzuia sisi kuwachangia wapenda haki na wapigania demokrasia yetu. Nyie UWT kaendelezeni ngono zembe.