Uchaguzi 2020 Dkt. Kavishe: Wawakilishi wa CHADEMA waliomba Tundu Lissu apunguziwe adhabu, maana yake walikiri kosa

Basi labda kaandikiwa na non native english speaker na hakusoma kabla ya kupost kwa maana kuna makosa ya kigrammar ambayo hayawezi kufanywa na native speaker hata siku moja achilia mbali huyo loya, ...
Onesha hayo makosa unayodai kama kweli wewe mweledi wa lugha, unakwama wapi ndugu yangu?

Kiingereza ni lugha pana, haiko finyu kama hivyo unavyoisawiri.

Na hata kama angekuwa kaandikiwa, basi jambo la awali ingekuwa ni yeye kupitia maandishi na kusahihisha lugha (kama kuna makosa). Hiyo (umakini) ni kawaida kwa wazungu ambao wamesomea fani nyinginezo, si kwambii mtu aliyesomea law na mashuhuri duniani kama huyo Robert umakini wake utakuwa juu kwa kiwango gani.
 
Lisu ni kibaraka
Unaweza kuthibitisha kauli yako hii au unapiga tu porojo za hapa na pale ili kuvutia usingizi wa kulala?Kwa sababu kauli ya kitu ambacho huna ushahidi nacho na huwezi kuthibitisha huwa ni porojo tu za kupotezea watu muda wao
 
Onesha hayo makosa unayodai kama kweli wewe mweledi wa lugha, unakwama wapi ndugu yangu?

Kiingereza ni lugha pana, haiko finyu kama hivyo unavyoisawiri.

Na hata kama angekuwa kaandikiwa, basi jambo la awali ingekuwa ni yeye kupitia maandishi na kusahihisha lugha (kama kuna makosa). Hiyo (umakini) ni kawaida kwa wazungu ambao wamesomea fani nyinginezo, si kwambii mtu aliyesomea law na mashuhuri duniani kama huyo Robert umakini wake utakuwa juu kwa kiwango gani.


Kama hauoni basi na wewe haujui pia kwani iko wazi ukisoma unaona, isitoshe grammar ya kiingereza inajulikana, kama ni American english grammar inajulikana, kama ni British english ambayo iko sawa na Kanada, Australia, New Zealand au AK inajulikana pia, ...
 
Serikali pia imeonesha kwa jinsi gani Tundu LISSU Ana foreign back up.

Amasterdam ameingia cha kike sana.
 
Mkuu tume inaweza kufanya hivyo,na je ikifanya hivyo what next, ? Je mafuriko ya watanzania kwake wakikataa mtaweza kuwazuia kwa njia gani!!!? lissu mpaka mda huu anajeshi kubwa la mafuriko ya watanzania ,unafikili ni chombo gani Cha ulinzi chaweza kukubali upuuzi Kama huu,watu hawalali juu ya nchi yao Leo eti tume ifanye mzaa wa kubet na amani ya nchi alafu waichekee,watakatalowa kweupe nakwambia , hao wanaviapo vyao juu ya nchi Wala sio chama chochote au mtu yoyote,japo kwa namna moja au nyingine wanaweza fanya fair tu kwa Mambo madogomadogo ila si maslahi mapana ya taifa
Yeye tu ndio ana wafuasi?

Mafuriko hata Magufuli anayo
 
Nilikuuliza inawezekana vipi kukejeli watu ambao wanafund miradi ya maji,umeme,afya,barabara,etc kuwa ni mabeberu wakati hata budget yetu zaidi ya asilimia 60 inawategemea wao,lakini uliingia mitini
Wanafund bure? Si kwa makubaliano?
 
Kama hauoni basi na wewe haujui pia kwani iko wazi ukisoma unaona, isitoshe grammar ya kiingereza inajulikana, kama ni American english grammar inajulikana, kama ni British english inajulikana pia, ...
Hayo ni maneno ya mshindwaji. Ktk mambo ya taaluma huwa hakunaga stori kuwa eti makosa yako wazi. Kwenye taaluma huwa kuna kuonesha makosa na kusema usahihi ulipaswa uweje. Na kutokea hapo pia tunaangalia hayo makosa kama ni kweli ni makosa au ni mkosoaji ndio ana ufinyu wa taaluma husika na hivyo mkosoaji anahitaji kufundishwa elimu ya ziada.

Nyie ndio wale mliokuwa mkitufundisha eti 'He' na 'She' zatumika tu kwa binadamu wa kiume na kike haziwezi kutumika kwa vitu kama mbuzi, ng'ombe, sungura, gari. Kwa vitu hivyo unatakiwa utumie 'it'.

Na kweli kwenye mitihani akitajwa mbuzi ukajaza 'it' unawekewa kosa.

Kumbe elimu ni pana zaidi ya hivyo. Waweza tumia 'He' au 'She' kwa vitu hivyo nilivyovitaja hapo na vinginevyo na ukawa sahihi kabisa. Bali kutumia it kunaonesha udhaifu wako ktk taaluma husika.
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Tusidanganyane maendeleo Yana chamma mbogamboga,na huo ndio unevu wenyewe,au ubaguzi.
 
Hayo ni maneno ya mshindwaji. Ktk mambo ya taaluma huwa hakunaga stori kuwa eti makosa yako wazi. Kwenye taaluma huwa kuna kuonesha makosa na kusema usahihi ulipaswa uweje. Na kutokea hapo pia tunaangalia hayo makosa kama ni kweli ni makosa au ni mkosoaji ndio ana ufinyu wa taaluma husika na hivyo mkosoaji anahitaji kufundishwa elimu ya ziada.

Nyie ndio wale mliokuwa mkitufundisha eti 'He' na 'She' zatumika tu kwa binadamu wa kiume na kike haziwezi kutumika kwa vitu kama mbuzi, ng'ombe, sungura, gari. Kwa vitu hivyo unatakiwa utumie 'it'.

Na kweli kwenye mitihani akitajwa mbuzi ukajaza 'it' unawekewa kosa.

Kumbe elimu ni pana zaidi ya hivyo. Waweza tumia 'He' au 'She' kwa vitu hivyo nilivyovitaja hapo na vinginevyo na ukawa sahihi kabisa. Bali kutumia it kunaonesha udhaifu wako ktk taaluma husika.


Hili siyo swala la taaluma, ni kitu rahisi tu, kwamba huo ujumbe grammar yake haijakaa sawa sasa kama hauoni hiyo siyo kazi yangu kukufundisha labda ni wewe ndiye uliyemuandikia huyo loya na yeye hakujisumbua kusoma akaposti tu, lkn hauwezi kuwa ujumbe ulioandikwa na loya ambaye ni native speaker wa english language, ...
 
Mbona aliyesign barua anaitwa Emmanuel Kawishe na Siyo Kavishe. Wamekosea makusudi au....!!?
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Mbona Magufuli hafungiwi?

Maana ana makosa lukuki..

Na hiyo Tume ni grupu la CCM moetherfvckers....unategemea wasitoe hukumu ya uonevu?
 
Makubaliano yapi hayo?
Kwamba mzungu anapata na tz inapata sawa kwa sawa,

Beberu yeye anakuja kwa njia ya mlango wa nyuma anatafuta kibaraka mmoja anavuruga aman kisha wao wanaendelea kuchota wanachotaka. Na hao ndio wakiomfadhili Lisu kina Amsterdam.

Hatukatai kuwa na wakili wako toka popote ulimwenguni ila huyu wa Lisu hadi aibu.

Huwezi kuanza kumtolea matamko mteja wako kwenye mambo ya uchaguzi wakati wewe ni raia wa nje,

Wanachi watakukataa wewe na mgombea wako na ndio kitatokea kwa Lisu
 
Yeye tu ndio ana wafuasi?

Mafuriko hata Magufuli anayo
Sawa mkuu tz kwanza vyama badae, busara kwanza ,maana twajua sio wote wamfuatao mgombea wa ccm ni wanachama au wanamapenzi nae na sio wote wamfatao mgombea wa chadema Wana mapenzi nae so vipi hizi group mbili zikikutana barabarani ,si mtaokota mizoga ya kutosha ,why tufike uko,why tuwape vyombo vya ulinzi kazi ambayo yaweza epukika why ? Nipe majibu
 
Hili siyo swala la taaluma, ni kitu rahisi tu, kwamba huo ujumbe grammar yake haijakaa sawa sasa kama hauoni hiyo siyo kazi yangu kukufundisha labda ni wewe ndiye uliyemuandikia huyo loya na yeye hakujisumbua kusoma akaposti tu, ...
Nimekuelewa mkuu, huna uwezo wa kuonesha makosa yake unayodai hapa na kuandika usahihi wake. Kitu kikubwa ni kuwa wahofia utaonekana wewe ndiye hujui.
0
Nakumbuka uliwahi mtoa kasoro Paula ktk sentensi yake fulani ya Kiingereza na ukadai hajui lolote...na tahamaki ktk uchambuzi kutegemea kamusi za lugha husika na pia native speakers, tukaona Paula Paul alikuwa sahihi 9ktk ile sentensi) na wewe mzee mzima ulikuwa chaka.
 
Unaweza kuthibitisha kauli yako hii au unapiga tu porojo za hapa na pale ili kuvutia usingizi wa kulala?Kwa sababu kauli ya kitu ambacho huna ushahidi nacho na huwezi kuthibitisha huwa ni porojo tu za kupotezea watu muda wao
Ni kibaraka na msaliti wa watanzania.
 
Back
Top Bottom