Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,128
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dokta Damas Ndumbaro amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na chama cha CCM kwa ajili ya kuwania ubunge wa Songea Mjini kwa kuwasili ofisi za CCM akiwa na usafiri wa baiskeli. Mwaka huu tutashuhudia mengi mno