jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Ndio mkuu sasa hapa watu hawataki kujua kama dr ni mtaalamu na aliyakiwa kujibu kitaalamu,Nyalandu ana kasha nyingi sana, ila kwa bahati mbaya zaidi Dr. amejibu kama kada na sio kama mwanataaluma
Kibaya zaidi naziona kashfa za Nyalandu zikiishia mtandaoni tu