FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Kiitifaki, huyo bwana mdogo alitakiwa akutanishwe na Mwenyekiti wa UVCCM; Katibu Mkuu ni nafasi kubwa katika Utumishi wa Umma; waandaji wa kipindi hawajatenda haki kwa Katibu Mkuu.
Katika mjadala huu, kwa kushirikiana na Benki ya Dunia, baadhi ya wanaharakati, asasi za kiraia na wapinzani wanakusudia kuhujumu elimu yetu na maendeleo endelevu ya taifa kwa ujumla.
Katika hili, msimamo wa serikali uungwe mkono.
Katika mjadala huu, kwa kushirikiana na Benki ya Dunia, baadhi ya wanaharakati, asasi za kiraia na wapinzani wanakusudia kuhujumu elimu yetu na maendeleo endelevu ya taifa kwa ujumla.
Katika hili, msimamo wa serikali uungwe mkono.