Baada ya kutokea ajali ya meli ya mv. Skagit kuzama, Mwakyembe alinukuliwa akisema kujiuzulu si suluhisho la kila matatizo. Hata hivyo namshukuru waziri mwenye dhamana huku Zanzibar kuamua kujiuzulu.
Iwapo Mwakyembe anasema haya, wakati kwa Lowassa alimalizia kusoma taarifa yake bungeni kuwa, aliyekuwa waziri mkuu huyo ayapime mwenyewe, kwanini asiache waziri mhusika ayapime naye mwenyewe?
Napata mashaka na huyu waziri na it seems he is myopic and double standard in the issue of accountability!
Iwapo Mwakyembe anasema haya, wakati kwa Lowassa alimalizia kusoma taarifa yake bungeni kuwa, aliyekuwa waziri mkuu huyo ayapime mwenyewe, kwanini asiache waziri mhusika ayapime naye mwenyewe?
Napata mashaka na huyu waziri na it seems he is myopic and double standard in the issue of accountability!