Minafikiri huyo ni msichana wa umri wa miaka kumi na tisa ( 19 )na sio yatima anglia Rais wa migomo
Umeona ukiandika Diwani wa Chadema ndio habari yako itapata msisimko au sio. Sio mbaya lakini acha afunguliwe mashtaka na ukweli utajulikana ila kwa taarifa yako hataukumiwa kwa mrengo wa chama bali atahukumiwa kama raia mwingine.
acha kutumia viungo visivyostahili katka kufikiri.
mimi nimechukua hyo kwny gazeti na ITV wameonyesha sasa kama unawashwa ni PM.
Ndio maana hawa jamaa hawaoiiii?? Ndio kazi yao! Mnyika, Sugu, kabwe na Kikongwe, oeni jamani msije mkafanya kama huyu mheshimiwa diwani!
Diwani wa kata ya kijitonyama (Dsm) ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ally maua kupitia CHADEMA Juma Athman Uloleulole, amedakwa na polisi na kufikishwa kituoni kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia yatima na baadaye kumuomba rushwa ya ngono.
yatima huyo aitwaye Sylvia Kigola (19) alienda kulalamika polisi kwamba alipoenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ally maua kuandikiwa barua ya dhamana kwa ajili ya kwenda kuomba kazi ndipo mwenyekiti huyo alimgeuzia kibao na kumbaka.
Amefunguliwa kesi jalada no.KJN/RB/1117/2012.
Tukio hilo lilishuhudiwa na waandishi mbalimbali wa habari akiwemo wa ITV.
Source:taifa letu Tarehe 17.02.2012 ukurasa wa kwanza.
My take:Ni aibu kwa kiongozi wa umma kufanya kitendo kama hiki.hatua kali za kisheria zichukuliwe baada ya kuthibitika.
Tatizo ni CCM!
Ndio maana hawa jamaa hawaoiiii?? Ndio kazi yao! Mnyika, Sugu, kabwe na Kikongwe, oeni jamani msije mkafanya kama huyu mheshimiwa diwani!
Diwani wa kata ya kijitonyama (Dsm) ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ally maua kupitia CHADEMA Juma Athman Uloleulole, amedakwa na polisi na kufikishwa kituoni kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia yatima na baadaye kumuomba rushwa ya ngono.
yatima huyo aitwaye Sylvia Kigola (19) alienda kulalamika polisi kwamba alipoenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Ally maua kuandikiwa barua ya dhamana kwa ajili ya kwenda kuomba kazi ndipo mwenyekiti huyo alimgeuzia kibao na kumbaka.
Amefunguliwa kesi jalada no.KJN/RB/1117/2012.
Tukio hilo lilishuhudiwa na waandishi mbalimbali wa habari akiwemo wa ITV.
Source:taifa letu Tarehe 17.02.2012 ukurasa wa kwanza.
My take:Ni aibu kwa kiongozi wa umma kufanya kitendo kama hiki.hatua kali za kisheria zichukuliwe baada ya kuthibitika.
Rais wa Migomo ana kadi ya CCM hapo amelenga chadema huo ubakaji ni janja yake tu. Fungueni post zake za nyuma utaona mengi kuhusu mtazamo wake dhidi ya chadema.
Rais wa Migomo ana kadi ya CCM hapo amelenga chadema huo ubakaji ni janja yake tu. Fungueni post zake za nyuma utaona mengi kuhusu mtazamo wake dhidi ya chadema.
kigogo wa bakwata aliyekamatwa mwanza kwa kukwepa kodi ulimtetea kwa nguvu zako zote lakini chadema hatua kali za kisheria zichukuliwe. Nina mashaka na post zako tangu umejiunga JF
Propaganda.!
Myaka 19 ni mtu mzima, kwa mjibu wa sheria za nchi yetu, kama waliridhiana ni swadaktaaaa!. Pia mazingira ya kwamba alienda mwenyewe hadi kuingia gest uckute kulikuwa na makubaliano mazuri.
Nachelelea kumlaumu jamaa uckute wabaya wake ndo wamemtibulia dili (maji taka!). Labda kama alijaribu kumlazimisha kwanamna yoyote ile, lakini kwa umri hiyo ni chakula tosha kabisaaa!
kuna wakati, kosa la mtu liwe la mtu mwenyewe lisiunganishwe na dini au chama anachofungamana nacho.
maana hakuna chama au dini ambayo inafurahia maovu