King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,001
- 623
Diwani wa ccm kata ya Mrao keryo, wilaya ya Rombo. ndgu. Felisian Marandu amejiuzulu kwa sababu za kiafya. Na leo amefanya mkutano katika kijiji cha Mmomwe kuwaaga wapigakura waka
Diwani wa ccm kata ya Mrao keryo, wilaya ya Rombo. ndgu. Felisian Marandu amejiuzulu kwa sababu za kiafya. Na leo amefanya mkutano katika kijiji cha Mmomwe kuwaaga wapigakura waka
Diwani wa ccm kata ya Mrao keryo, wilaya ya Rombo. ndgu. Felisian Marandu amejiuzulu kwa sababu za kiafya. Na leo amefanya mkutano katika kijiji cha Mmomwe kuwaaga wapigakura waka
Au kashapata ugonjwa wa M4C?.
Diwani wa ccm kata ya Mrao keryo, wilaya ya Rombo. ndgu. Felisian Marandu amejiuzulu kwa sababu za kiafya. Na leo amefanya mkutano katika kijiji cha Mmomwe kuwaaga wapigakura waka
Afya yake imekuwaje tena MKUU? Maana huko Rombo mambo ya siasa nayo ni mgando mgando sana!!!! Chadema kiti hicho!
Diwani wa ccm kata ya Mrao keryo, wilaya ya Rombo. ndgu. Felisian Marandu amejiuzulu kwa sababu za kiafya. Na leo amefanya mkutano katika kijiji cha Mmomwe kuwaaga wapigakura waka
Hold on pal! Yapo mgando kivipi? Kwa kuchagua upinzan(cdm) coz walianza since 1995 au kivipi? Au kwa huyo mh. kujiondoa ndo kunandihirisha u mgando wao??Afya yake imekuwaje tena MKUU? Maana huko Rombo mambo ya siasa nayo ni mgando mgando sana!!!! Chadema kiti hicho!