Diwani wa CCM Arusha amehamia CHADEMA

Diwani wa Kata ya baraa na aliyewahi kushika Umeya wa Arusha mjini miaka ya Nyuma kupitia CCM Lotha Paul Laiza jana amejiondoa kwenye chama cha mapinduzi (CCM) na kujiunga kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Huu ni mwendeleza wa viongozi wa CCM wanaojitoa kwenye chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani.

View attachment 272371

hii haitusaidiii kama hamtuelezi Dr Slaa yupo wapi
 
Lema kadi za makontena ulizoagiza kutoka China zitakuja lini??? Huku kwetu zimekwisha…Tuma ndege iende China mapema…Usiwe na wasiwasi ya magwanda..fundi mchundo kaongeza cherehani na wanafunzi wa VETA wana neemeka!!!!

MAZISHI tarehe 25 oktoba
 

Attachments

  • 1438262380729.jpg
    1438262380729.jpg
    11.2 KB · Views: 38
mkutano mkuu wa chama wiki ijayo... Dr Slaa, Mnyika na Lisu wapo busy sana kwenye maandalizi... hawa ni viongozi wakuu watendaji... so msiwe na shaka... kazi kwenda mbele.. kumbukeni ratiba ya chama by tar 4 august mambo yote yatakuwa yameiva
 
KARIBU SANA,UKAWA! Tunawakaribisha wote waliotambua kuwa kupitia UKAWA,Tanzania itaweza kukuwa kiuchumi siyo tu uchumi wa Taifa bali pia uchumi wa mtu mmoja mmoja na hatimaye kuondokana na lindi la umasikini. Hakuna mtu yeyote katika nchi hii asiyejua kwamba Tanzania tuna rasilimali za kutosha,lakini bado wananchi ni masikini sana. Tatizo tumekosa usimamizi bora wa rasilimali zetu. Sina maana kwamba tangu uhuru nchi haina maendeleo kiuchumi,la hasha; Hakika tunapotaka kupima maendeleo kiuchumi lazima tuangalie muda na rasilimali zilizopo,yawezekana kama pangekuwa na usimamizi mzuri na matumizi thabiti ya resources zetu tangu mwaka 1961 mpaka sasa tungepiga hatua kubwa kiuchumi zaidi ya hapa tulipo.
NYOTE MNAKARIBISHWA

 
Back
Top Bottom