Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
Jamani ni kweli wapinzani walekeze nguvu za kuwaelimisha watu wengi vijijini lakini hata sisi pia wenye ndugu vijijini tutumie fursa hiyo kuwaelimisha ndugu zetu kuhusiana na UFISADI unaofanywa na hawa MAJAMBAZI wa CCM. Watu vijini wanafanywa kama Mazuzu yaani aibu sana.