Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Sema nn CMG watamrudisha baada ya muda, dizain wamemsimamisha kwa muda. Nakumbuka kina Adam mchomvu, Alex lwambano waliwahi simamishwa...ila baada ya muda waliwarudishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli maadili yanakataza kumcheka mtu au kumuombea mabaya mtu au kufurahia anguko la mtu..
LAKINI diva alikua kazidi mpuuzi yule.. alikua anajiona sana.. sasa anyooke dadeq zake..

Hata kama alipata kazi au hata akipata hela .kilichokua kinampa kiburi ni kuwa na kipindi clouds ambapo alikua napata platform ya kujimwambafai.. sasa aende akajimwambafai kwenye ule mjengo wake wa mil 500 aliokua anajenga😂😂
 
Kama uliposoma tetesi hii ulianza kusikia raha kwanza kisha ukasikitika, nataka nikwambie hiyo raha uliyosikia ni makazi ya shetani, na kitendo cha raha kutangulia ni kiashiria cha kumtanguliza mbele shetani katika maisha yako, trust me, huendi mbinguni. Mtangulize Mungu, siku zote utawahurumia watu hata kama ni maadui zako.
Nimekuelewa sana ndugu yangu

Hakika raha ni ya shetan lakin huruma ambayo ni chungu sana ni ya MUNGU

BAS ISIWE KESI

MUNGU NA WENYE KHAKI
SHETAN NA WAHUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Tena kwenye msimu huu wa covd19
FB_IMG_1587025315856.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom