Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
- Thread starter
- #21
You are so interesting Afrodenzi, ulidhani hayo maneno matamu yatakuwa ni ya siku zote? waswahili wansema hata tamu hukinai, hivyo hata kama yangekuwa matamu kiasi gani lazima baadaye utayazoelea na kuona ni ya kawaida, labda ukahitaji zaidi ya hyao..
mmmhh
wakati nasoma nilidhani kuna maneno matamu
romance words kitu kama hicho.
duuuu halafu nakutana na na kufuta vumbi, kuosha/safisha, kupiga pasi na kupika...
mmmhh dear
ndo maana nikasema kweli umeniweza.