Director General NIMR

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,494
Kama ilivyotabiriwa na wengi, baada ya Dr Kitua Andrew kustaafu ukurungenzi mkuu wa National Institute of Medical Research, NIMR Dr Mboera alikuwa akikaimu nafasi hiyo, lakini naona board ya NIMR imempendekeza Dr Mwele Lazaro Malecela, PhD kuchukua nafasi hiyo, Raisi anatarajiwa atapitisha jina hilo. Hongera sana dada Mwele unastahili hicho cheo, nakumbuka ulivyokuwa makini ukiwa mkurugenzi wa mafunzo na utafiti, umevuta miradi mingi wizarani na wewe ni raisi wa tafiti za magonjwa ya matende barani Africa. Hongera mama...

Wale haters msiharibu hii thread fungueni yenu!

Mig
 
Dr Mwele Hongera sana Kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa NIMR. Ulipokuwa kiongozi wa shughuli za Tafiti ulitufunda jambo sisi watafiti tunaochipukia. Hongera sana na Mungu akupe heri katika yote. Ukali wako uwe uleule.
 
Kama ilivyotabiriwa na wengi, baada ya Dr Kitua Andrew kustaafu ukurungenzi mkuu wa National Institute of Medical Research, NIMR Dr Mboera alikuwa akikaimu nafasi hiyo, lakini naona board ya NIMR imempendekeza Dr Mwele Lazaro Malecela, PhD kuchukua nafasi hiyo, Raisi anatarajiwa atapitisha jina hilo. Hongera sana dada Mwele unastahili hicho cheo, nakumbuka ulivyokuwa makini ukiwa mkurugenzi wa mafunzo na utafiti, umevuta miradi mingi wizarani na wewe ni raisi wa tafiti za magonjwa ya matende barani Africa. Hongera mama...

Wale haters msiharibu hii thread fungueni yenu!

Mig

Thanks for info... I hope the President will approve the appointment!!
 
Congrats to Mwele, tunatumaini ataifufua NIMR na kufanikisha yale ambayo mwenzake aliemtangulia hakuweza kuyafanikisha...
 
Jamani, Mkuu hajapitisha, tunaanza kupongeza... likitupwa hilo jina itakuwaje?
 
Tunamwombea heri Dr.Mwele ni mdada anayejitahidi sana kila la heri tunadhani rRaisi atapitisha pendekezo hilo
 
mhhh sawa kama atachaguliwa then nampa pongezi

lakini zaidi mimi I am more interested to see how she looks like
si haba Dododma si mbali na bara bara nzuri hivyo hakuna haja ya kupanda treni
 
Hapa mnapoanza ku-preempt uteuzi wa rais ndio mnaharibu kabisa. Kuna watawala wengine waonapo uteuzi wao umeshaanza kushabikiwa huwa wanabadilisha. Subirini ateuliwe rasmi ndipo tuanze pongezi zetu.

Kwa ufahamu wangu huyu mama anastahili nafasi hiyo, ni kichwa hasa.
 
Jamani mtupe short cv yake kamili ili tumpende au tumponde, siyo mnaanza kutuziba ziba eti haters oh oh sijui mambo gani!! Embu nambieni kwa nini anafaa? Mbona watafiti tunao wengi hapa tz, whats special with her? Mi simjui kabisa!
 
Kwa wasiomfahamu . . .

pic.php


4.jpg
 
Back
Top Bottom