Mimi ni mshabiki wa Dina Marios napenda sana utangazaji na ubunifu wake wa vipindi. Alipotoka martenity alituahidi kurudi kazini kupitia clouds Tv yaani atakuwa anaonekana kwenye runinga na si kwenye redio tena. Lakini umepita mwaka sasa hatukuoni runingani umekuwa kimya kbs. Mi kama shabiki wake nimeulizia kupitia blog yake na instagram account lakini sikujibiwa. Anayejua atarudi lini runingani anijuze jamani nimemiss sana utangazaji wake.