Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

mkarimani feki

JF-Expert Member
Nov 8, 2023
302
1,136
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
 
Siri ya mafanikio imejificha kwenye mkaa
 

Attachments

  • 289bc87140c047daabceb0b41da75854.jpg
    289bc87140c047daabceb0b41da75854.jpg
    75.1 KB · Views: 11
Back
Top Bottom