mkarimani feki
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 302
- 1,136
Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!