Did Tanzania Steal SA's National Anthem?

Dumb buoy, the propaganda umepaste is saying two people, why donchu acknowledge Enoch Sontonga, instead unashupaza shingo kwa huyo joseph ambae wameandika it is thought, do you understand english? A thought is something that is intangible, the song was composed by a pan africanist not some white guy that you's used unato lick their butts and praise em, sorry a$$ foolish guy, enda nyonya kwa nyanyaako ukue.

now tanzania na kizungu wanajulikana ni kama ardhi na bingu. I hate bigots like you, ata dictionary utabisha kilichoandikwa. so just rudi vijiweni ulikotokea coz I have no time trying to school you on elementary english!!!
 
Usitukane watu, stick kwenye facts - kumbuka mtu yeyote anaweza ku doctor kilicho andikwa kwenye wikipedia akaongezea chochote, mengi uliyo andika yana ukweli ila unatibua unapo muhusisha mzungu kwenye wimbo uliyo tungwa na kuandikwa na Wa Xhosa - nyinyi wakati mwingine mnatawaliwa sana na colonial hangover - mnafikiri mtu mweusi hawezi kufanikisha kitu bila ya Mzungu kuwa around kuki-refine!!!

So what makes you a saint and others lairs. so you choose to believe the part referring to black dudes and reject the part saying the song traces its roots to a white man!!!! upende usipende ukweli ni hamna wimbo wa taifa! anthem yenu ni mkopo kutoka kwa wazungu south afrika ambao mpaka wa leo wanaitawala tanzania nyaja zote za kimaisha!!!!

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written byJoseph Parry.[3][1] wikipedia
 
WALTHAM.

How many times must I repeat myself? I said there's no proof kwamba a Whiteman wrote/contributed anything kwenye wimbo wa wabantu - the brains behind the song's tune are XHOSA TRIBE - Wazungu wasitake kujipa credit ambazo hawastahili kupata/kupewa - mtu yeyote mwenye akili timamu akisikiliza wimbo huo atajua ni tune ya Kibantu siyo Anglo-Saxon, hapo mzungu anaingia ingiaje kama sio ukosefu wa akili ubaguzi wa rangi na colonial mentality za Waingereza ambao wana contribute kwenye URL ya wikipedia, hata mimi naruhusiwa kurekebisha kulicho andikwa kwenye site ya Wikipedia, usichukulie kila kilicho andikwa kwenye site ya Wikipedia kama gospel TRUTH - mwisho wa siku AKILI KICHWANI MWAKO siyo unakula kila kitu RAW, kichemshe/pika kwanza.
 
Kwa kweli ni jambo la kuwashangaa hawa jamaa, unaona hapa wapo busy kusheherekea mabaya yakitendeka Kenya, wakati sisi tunahuzunika tukiona mabaya yakitendeka kwao. Wana roho nyeusi na elimu duni sana hawa. Kwa kweli nilihuzunika niliposoma hiyo taarifa ya Watanzania zaidi ya 50 kuuliwa kinyama na Warwanda, kisa uvuvi.
Juzi pia nimesoma mahali polisi wao wameuliwa kitaa, matukio mabovu sana hayo, lakini jamaa wapo kutwa huku wakishabikia mabaya yanayotendeka Kenya.

MK254, hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufurahia mabaya yanayo mkuta mwenzake, Watanzania hatuna uwenda wazimu wa namna hiyo - tutabishana na nyinyi kwenye masuala ya uchumi na uwekezaji lakini sio masuala ya ugaidi au vita, hakuna Taifa lolote Duniani however power linaweza kijinasibu kwamba ni immune kwa ugaidi na vitu kama hivyo.
 
MK254, hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufurahia mabaya yanayo mkuta mwenzake, Watanzania hatuna uwenda wazimu wa namna hiyo - tutabishana na nyinyi kwenye masuala ya uchumi na uwekezaji lakini sio masuala ya ugaidi au vita, hakuna Taifa lolote Duniani however power linaweza kijinasibu kwamba ni immune kwa ugaidi na vitu kama hivyo.

Asante...peace.
Hilo la kufa kwa Watanzania 50 hapo mpakani jamani mnalirekebisha vipi maana halijakaa sawa aisei, sipati picha mbona Waafrika tufanyiane hivi kisa hii mipaka aliyochora mzungu.
 
Asante...peace.
Hilo la kufa kwa Watanzania 50 hapo mpakani jamani mnalirekebisha vipi maana halijakaa sawa aisei, sipati picha mbona Waafrika tufanyiane hivi kisa hii mipaka aliyochora mzungu.

Inaelekea mauuaji haya yalikuwa yanafanyika kimya kimya kwa muda mrefu au tuseme uongozi wa Mkoa wa Kagera walikuwa wanajua kinacho endelea lakini wakapuuzia au Viongozi wa vijiji walikuwa hawatoi taarifa kwa Viongozi wa Serikali Mkoa wa Kagera - viongozi wa kijiji wamekuja kufunguka na kusema ukweli baada ya wavuvi 9 kuuwawa kwa mpigo, lakini mauuaji ya nyuma walikuwa hawayasemi, Juzi juzi hapa ndio wajane walikuja kuanika kila kitu adhalani!!!

Sasa hii inatoa picha gani: Ni kwamba Watanzania bila shaka walikuwa wanaji involve kwenye biashara haramu labda Wanyarwanda waliwahi kuwaonya bila mafanikio maanake sisi Watanzania wajati mwingine tu wabishi sana hatutaki kuheshimu sheria tunajifanyia tupendalo wakati wenzetu Wanyarwanda wanaheshimu sheria bila shuruti - mimi nafikiri jeuri jeuri yetu ndiyo ilitufikisha hapo wakajikuta wanapigwa risasi na wenzetu baada ya kuchoshwa na udokozi wao, ingawa Serikali ya Rwanda ingeweza kuwatia mbaroni na kuwaburuza mahakamani kiliko Askari wao kuwa trigger happy - sina shaka PK na Dk.Magufuli watajua jinsi ya ku deal na tatizo hili sugu.
 
now tanzania na kizungu wanajulikana ni kama ardhi na bingu. I hate bigots like you, ata dictionary utabisha kilichoandikwa. so just rudi vijiweni ulikotokea coz I have no time trying to school you on elementary english!!!
pale nyani haoni kundule.

Hata wewe English yako na kiswahili chako ni kibovu. Wakenya wengi English zenu ni mbovu ni vile mnajitahidi kuluko wengi wa watanzania. Btw, english ni lugha na ni lugha ya wakoloni na si ya kenya. Mbona nyie ni watumwa hivi? Wachina, wajapan, warusia, na wengine wengi hawaongea kingereza.
 
Asante...peace.
Hilo la kufa kwa Watanzania 50 hapo mpakani jamani mnalirekebisha vipi maana halijakaa sawa aisei, sipati picha mbona Waafrika tufanyiane hivi kisa hii mipaka aliyochora

Rwanda under the leadership of Kagame acts as a belligerent state to gain prominence. Anacheza na moto.
 
Back
Top Bottom