Did Tanzania Steal SA's National Anthem?

Wewe hebu fuatilia comment zangu. Nimewaeleza huku mnakomaa na information za Wikipedia ambazo mtu yeyote anaweza andika. Acheni upoyoyo.
Kama mnataka kujifunza tutawapa elimu kwanini tunaimba huo wimbo. Siyo kuleta kenjeri na vijembe wakati nchi yenu ipo uchi na kwa vijembe tunajua kweli. Tunajua wapi yeti zenu zilipo.
Leta hoja tujadili uelimishwe.

Kenjeri ndio nini sasa? Sina mpango wowote wa kuleta kenjeri. Wenye kenjeri ni wale wanaotokwa na povu hata kusoma hawawezi. Hujajibu lolote nililokuuliza kwa kuwa wewe elimu yako ni ya kenjeri tu.
 
Ninaona furaha sana unapoweka picha nyingi za Somalia na Nchi zingine hapa ukisema kuwa ni wajibu wa Wakenya kuwalisha. Kwa kweli, hii inaionyesha ya kuwa mnatambua Kenya kuwa "baba yao." tunaomba msamaha kwa kuwatelekeza watoto wetu, na tutajitahidi zaidi.

Swali langu ni je, kwanini wakati mwingine nyie (si watanzania wote humu jf though,) huwa na mazoea ya kutoelewa mada? Tunajadili kuhusu kuhusu wimbo wa Taifa. Kwanini nyie msijue mada ni ipi?

Kuna watanzania fulani ambao hawana ufahamu wa wimbo wao wa taifa na haya ni mageni. Siku moja nilimsikia mtanzania akijigamba kuwa SA wamecopy Wimbo wa wao taifa. Hata hivi sasa, nimemona mtu mmoja hapa akisema SA walikopi Bendera lao. Hamjui kuwa ni Nyie ndio mlicopy bendera ya ANC. Kwanini ubunifu hamna?

Kuhusu kuwekwa kwa miili ya wanajeshi wa Kenya, siwezi shuka kiwango cha kijinga kama hicho; hivi majuzi, wananchi wenu zaidi ya hamsini wameuliwa kikatili karibu na mpaka wa TZ na Rwanda, ni wakenya wangapi umeona wakisherehekea? Kweli baadhi yenu ni wajinga aisee.

Kwa kweli ni jambo la kuwashangaa hawa jamaa, unaona hapa wapo busy kusheherekea mabaya yakitendeka Kenya, wakati sisi tunahuzunika tukiona mabaya yakitendeka kwao. Wana roho nyeusi na elimu duni sana hawa. Kwa kweli nilihuzunika niliposoma hiyo taarifa ya Watanzania zaidi ya 50 kuuliwa kinyama na Warwanda, kisa uvuvi.
Juzi pia nimesoma mahali polisi wao wameuliwa kitaa, matukio mabovu sana hayo, lakini jamaa wapo kutwa huku wakishabikia mabaya yanayotendeka Kenya.
 
Huyu anayejiita Annael amekomaa kweli? What is so hard in remaining objective and issue based even as you have to spew your nonsense? Where you come from do they score marks by engaging with the insults like mamako ana hiki, mamako ana kile, mamako kafanya kile? I though this is a forum for grown ups but unfortunately post zako zinatia shaka.
 
Ndio zao hawa jamaa, wana matatizo kielimu, jamaa anatia aibu balaa.

sasa hapa swala la elimu lipo wapi or wapi na wapi? maana inshu aliyoleta mwenzio ni kuhusu relation za kidiplomasia, Kenya wanaembas South Africa lakini relation kati ya South Africa na Kenya ni kama hakuna, same ilivyo kwa Namibia, Zimbabwe, Angola, Mozambique. Hakuna hata siku moja rais wa Kenya kapewa heshima or mwaliko wa kitaifa kwenye nchi hizo na pia hakuna hata day rais wa nchi hizo kuja Kenya kwenye sherehe za kitaifa or mwaliko wa kitaifa or sherehe za kuapishwa Rais wenu. Tanzania may not have embassy kwa nchi hizo but has solid diplomatic relations with those countries na why haina its a matter ya maamuzi or sababu nyingine.

sasa hapa Elimu unayosema ni ipi sielewi! Nyie ndio mnajipendekeza na kujikomba komba kwa inchi hizo, wao hawana mpango na nyinyi, hawana uhusiano wowote mzuri na nyie ila kujikomba kwenu mna vijiembas huko. How Uhuru was stranded in a hotel
 
sasa hapa swala la elimu lipo wapi or wapi na wapi? maana inshu aliyoleta mwenzio ni kuhusu relation za kidiplomasia, Kenya wanaembas South Africa lakini relation kati ya South Africa na Kenya ni kama hakuna, same ilivyo kwa Namibia, Zimbabwe, Angola, Mozambique. Hakuna hata siku moja rais wa Kenya kapewa heshima or mwaliko wa kitaifa kwenye nchi hizo na pia hakuna hata day rais wa nchi hizo kuja Kenya kwenye sherehe za kitaifa or mwaliko wa kitaifa or sherehe za kuapishwa Rais wenu. Tanzania may not have embassy kwa nchi hizo but has solid diplomatic relations with those countries na why haina its a matter ya maamuzi or sababu nyingine.

sasa hapa Elimu unayosema ni ipi sielewi! Nyie ndio mnajipendekeza na kujikomba komba kwa inchi hizo, wao hawana mpango na nyinyi, hawana uhusiano wowote mzuri na nyie ila kujikomba kwenu mna vijiembas huko. How Uhuru was stranded in a hotel
Siku mtatoka kwenye hayo mambo ya kujikomba na kujidanganya na mambo ya undugu na Wasouth ndio mtaamka, mahusiano baina ya nchi hayana cha undugu wala nini, ila maslahi. Piga biashara basi, mengine ya undugu hayo tupa kule. Mlijifanya na kujiachia eti mnapigania ukombozi wa Wasouth, leo hii hao ndio wanawatafuna na hawana cha undugu wale, mtaendelea kujikomba kwao lakini wanaowaona tu Makwerekwere kama wafanyavyo kwa Wafrika wenzao.

Wakati hao Wasouth walifanya fujo dhidi ya Waafirka wenzao, hawakuwasaza hata Wabongo, walipiga na kuua yeyote waliyekumbana naye asiye na asili ya Afrika Kusini. Soma jinsi mliishi kwenye makambi hapa Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini

Hayo mambo ya marais kualikwa wakakenue meno kule huwa hatuna haja nayo, kwetu sisi hadi rais atoke nje ya nchi lazima iwe kwa manufaa ya taifa letu. Sio kama kwenu eti rais anaalikwa akashuhudie jinsi mfalme Mswati anaongeza kuoa mke wa kumi.
 
Which influence? The major things that brought Kenya onto the world podium are: post election violences, endless chaos, reckless handling of westgate episode, and deaths of university students.
MOST INFLUENTIAL COUNTRIES IN AFRICA

4. Kenya
Kenya is a powerhouse in human resource capital. With the most educated population on the continent its also the fastest growing ICT hub in the continent. Its infrustructural development is fast catching up with south Africa and other Arab African countries. Its main strength is o its human capital where its professional traverse the globe.


It was recently voted as the one of the best places to live in the world…in terms of its humanitarian efforts. This follows the vast number of refugees hosted in camps around Kenya, this shows we are the best neighbors ever. Everyday you hear illegal immigrants comes from Uganda, Tanzania, Somalia and even Ethiopia..they all come here seeking for greener pasture, and save for the recent insecurities encountered, Kenya used to accomodate them.
Kenya is already have a working space agency with working satellite in Malindi. The government is planing to start a space programme that will send working satellites in space to help man Kenyan boarders. As from 2008 the government introduced courses in its universities on space exploration, like astrophysics and astronomy. Also with growing uptake of technology and the grand ICT plan of building an ICT park in Kenya like the one in California Kenya is showing great potential.
Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10


Africa's 10 Most Influential Countries (Big 5 and the Newcomers) - Page 4 of 10 - Africa Cradle
 
Tafaadhali ficha upumbavu wako, hakuna speculations hapa, mm ni mwananchi mwanahistoria wa nchi husika, ninakupa facts, wewe ndio unaleta uongo na speculations. Mungu ibariki in xhosa is nkosi sikelel, it was used by ANC. No pan africanist would adhere use national anthem words composed by a white man. Ushaambiwa south africa itself uses only some words, Tz ndio imetumia maneno ya nkosi sikelel in swahili na waka adopt tune yao and made the song their national anthem. Sasa wewe mkenya na source zako unatuletea propaganda mzungu alitutungia wimbo, danganya wenzako sio wa Tz, walimu na mababu zetu walitufundisha kama nilivyokuelezea, hakuna mzungu alietutungia wimbo. Naomba ufunge huu mjadala maana unajifanya mjuaji, kumbe hujui kitu, just another egoistic dumb kenyan boy.

A debate with a dumb ass from Tz is painful. The guy claims to be giving facts but I will send you to the flow of this thread there is no where you ever provided any information you are calling facts. Go back thru the comments. I provided all what you claim to be facts lazy boy!!

Let me give back to you again before you get killed by hangover za vijiweni!!

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written byJoseph Parry.[3][1] wikipedia
 
We unakichaa! Ramani yako inaonesha eti mna uhusiano na Zimbabwe, Namibia na Tanzania hatuna! Lini mtaacha uongo aisee? Hakuna atasiku moja Rais yeyote wa Kenya ashapata State visit in South Africa, Namibia, Zimbabwe, Angola or Mozambique na haijapata tokea marais wa nnchi hizo kuja Kenya kwa state visit or sherehe za kitaifa or kuapishwa rais wenu. Na haitatokea any time soon kwa Kenya na Malawi due to your sins of supporting apartheid. We also have a very solid diplomatic relation with Algeria na rais wao keshatembea Tz mara kibao ingawa ramani yako feki na yakutunga inaonesha otherwise. Dah! Nyie ni waongo mno, you guys are extremely horrible people.
Hivi wewe pumba na hii misifa yote hujui Zimbabwe ipo wapi kwenye ramani ya dunia?
 
Siku mtatoka kwenye hayo mambo ya kujikomba na kujidanganya na mambo ya undugu na Wasouth ndio mtaamka, mahusiano baina ya nchi hayana cha undugu wala nini, ila maslahi. Piga biashara basi, mengine ya undugu hayo tupa kule. Mlijifanya na kujiachia eti mnapigania ukombozi wa Wasouth, leo hii hao ndio wanawatafuna na hawana cha undugu wale, mtaendelea kujikomba kwao lakini wanaowaona tu Makwerekwere kama wafanyavyo kwa Wafrika wenzao.

Wakati hao Wasouth walifanya fujo dhidi ya Waafirka wenzao, hawakuwasaza hata Wabongo, walipiga na kuua yeyote waliyekumbana naye asiye na asili ya Afrika Kusini. Soma jinsi mliishi kwenye makambi hapa Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini

Hayo mambo ya marais kualikwa wakakenue meno kule huwa hatuna haja nayo, kwetu sisi hadi rais atoke nje ya nchi lazima iwe kwa manufaa ya taifa letu. Sio kama kwenu eti rais anaalikwa akashuhudie jinsi mfalme Mswati anaongeza kuoa mke wa kumi.

mnao jikomba ni nyie na siye hatuna mpango na nchi yeyote kusini mwa africa. Kinacho nishangaza kuhusu wakenya ni kimoja, kama ni inshu za udugu or ukombozi ni nchi nyingi, mozambique, zimbabwe, namibia, angola, uganda, but NO, South Africa!

Nini hasa kuhusu south africa? mna nini ninyi wakenya na south africa? Pia watanzania hao walio kambini walienda kwakua tu walitaka rudi bure kwa gharama za serikali, nimeishi south miaka najua vyema.
 
mnao jikomba ni nyie na siye hatuna mpango na nchi yeyote kusini mwa africa. Kinacho nishangaza kuhusu wakenya ni kimoja, kama ni inshu za udugu or ukombozi ni nchi nyingi, mozambique, zimbabwe, namibia, angola, uganda, but NO, South Africa!

Nini hasa kuhusu south africa? mna nini ninyi wakenya na south africa? Pia watanzania hao walio kambini walienda kwakua tu walitaka rudi bure kwa gharama za serikali, nimeishi south miaka najua vyema.

Nimekuambia sisi hatufuati mambo ya undugu, huo ni upuzi wa kutupa kule, tunafuata biashara na maslahi. Nyie muendelee kufuata hayo ya undugu wakati mnaliwa na kutafunwa na kubaki mahandaki matupu huku nchi ikiendelea kuwa maskini wa kutupwa ilhali mnafaa kuwa namba moja Afrika kwa utajiri kwa jinsi mlivyo na raslimali tangu enzi zile. Hayo ya undugu ndio yanafanya nchi yenu imekua shamba la bibi, mnatafunwa bila huruma.

Sisi hatupo Afrika Kusini pekee, tumewekeza kila sehemu kote kote. Nenda Sudan ya mwarabu na mweusi utatukuta, nenda SOmalia tunakwepa mabomu huku tukipiga biashara. nenda Uganda sisi ndio wawekezaji wakubwa kutokea kwa nchi za Afrika. Hata Rwanda, Burundi, na hata ndani ya Tanzania sisi ndio wawekezaji wakubwa kutokea nchi za EAC. Tunafanya yetu bila kufuatana na upumbavu wa undugu.
 
MOST INFLUENTIAL COUNTRIES IN AFRICA

4. Kenya
Kenya is a powerhouse in human resource capital. With the most educated population on the continent its also the fastest growing ICT hub in the continent. Its infrustructural development is fast catching up with south Africa and other Arab African countries. Its main strength is o its human capital where its professional traverse the globe.


It was recently voted as the one of the best places to live in the world…in terms of its humanitarian efforts. This follows the vast number of refugees hosted in camps around Kenya, this shows we are the best neighbors ever. Everyday you hear illegal immigrants comes from Uganda, Tanzania, Somalia and even Ethiopia..they all come here seeking for greener pasture, and save for the recent insecurities encountered, Kenya used to accomodate them.
Kenya is already have a working space agency with working satellite in Malindi. The government is planing to start a space programme that will send working satellites in space to help man Kenyan boarders. As from 2008 the government introduced courses in its universities on space exploration, like astrophysics and astronomy. Also with growing uptake of technology and the grand ICT plan of building an ICT park in Kenya like the one in California Kenya is showing great potential.
Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10


Africa's 10 Most Influential Countries (Big 5 and the Newcomers) - Page 4 of 10 - Africa Cradle

"This follows the vast number of refugees hosted in camps around Kenya, this shows we are the best neighbors ever. Everyday you hear illegal immigrants comes from Uganda, Tanzania, Somalia and even Ethiopia..they all come here seeking for greener pasture, and save for the recent insecurities encountered, Kenya used to accomodate them."

Hivi ni camp gani huko Kenya wapo watanzania? Kuna Wakenya wengi mno wanaofanya kazi Tanzania kuliko jinsi ilivyo Kenya. Ndio maana mda wowote Tanzania inapotangaza kuwatimua wageni haram, wavamia kazi wakwanza kulia lia ni Wakenya na ni wengi tu wanadipotiwa, mbona hatuoni WaTz wakilialia. Kenya nayo ni sehemu ya kuishi binadam?
 
Hivi wewe pumba na hii misifa yote hujui Zimbabwe ipo wapi kwenye ramani ya dunia?

We bwege look, naijua Zimbabwe sio kwa ramani, naijua vyema. Nimefika huko, nimakaa na nimekatiza mitaa na miji mingi ya zimbabwe. Mimi sina misifa, hatuja lelewa kijinga jinga na tabia mbovu mbovu kama nyie, nachofanya ni kukupa tu ukweli.
 
Nimekuambia sisi hatufuati mambo ya undugu, huo ni upuzi wa kutupa kule, tunafuata biashara na maslahi. Nyie muendelee kufuata hayo ya undugu wakati mnaliwa na kutafunwa na kubaki mahandaki matupu huku nchi ikiendelea kuwa maskini wa kutupwa ilhali mnafaa kuwa namba moja Afrika kwa utajiri kwa jinsi mlivyo na raslimali tangu enzi zile. Hayo ya undugu ndio yanafanya nchi yenu imekua shamba la bibi, mnatafunwa bila huruma.

Sisi hatupo Afrika Kusini pekee, tumewekeza kila sehemu kote kote. Nenda Sudan ya mwarabu na mweusi utatukuta, nenda SOmalia tunakwepa mabomu huku tukipiga biashara. nenda Uganda sisi ndio wawekezaji wakubwa kutokea kwa nchi za Afrika. Hata Rwanda, Burundi, na hata ndani ya Tanzania sisi ndio wawekezaji wakubwa kutokea nchi za EAC. Tunafanya yetu bila kufuatana na upumbavu wa undugu.

Wewe unakichaa, ndani ya South Wakenya wengi ni wafanyakazi, na wengi ni kihualifu, nawajua wakenya wengi mno, mno. Pia hata Tanzania wengi wenu ni wafanya kazi na vilaz*a*.

Kuhusu Uwekezaji, hili ni jambo la kijinga mno kuongelea kwakua, jumla ya thamani ya uwekezaji wa wakenya wote walio zidi ya 350++ ni less ya US$800. Tanzania wapo matajiri mmoja mmoja wenye jeuri ya kuwekeza hiyo hela $800 peke yake na sio kundi kubwa zaidi ya 350++. Huko south hebu nitajie kampuni moja tu ama mbili zinazo milikiwa na wakenya zina operate SA.
 
A debate with a dumb ass from Tz is painful. The guy claims to be giving facts but I will send you to the flow of this thread there is no where you ever provided any information you are calling facts. Go back thru the comments. I provided all what you claim to be facts lazy boy!!

Let me give back to you again before you get killed by hangover za vijiweni!!

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written byJoseph Parry.[3][1] wikipedia

Dumb buoy, the propaganda umepaste is saying two people, why donchu acknowledge Enoch Sontonga, instead unashupaza shingo kwa huyo joseph ambae wameandika it is thought, do you understand english? A thought is something that is intangible, the song was composed by a pan africanist not some white guy that you's used to lick their butts and praise em, sorry a$$ foolish guy, enda nyonya kwa nyanyaako ukue.
 
MOST INFLUENTIAL COUNTRIES IN AFRICA

4. Kenya
Kenya is a powerhouse in human resource capital. With the most educated population on the continent its also the fastest growing ICT hub in the continent. Its infrustructural development is fast catching up with south Africa and other Arab African countries. Its main strength is o its human capital where its professional traverse the globe.


It was recently voted as the one of the best places to live in the world…in terms of its humanitarian efforts. This follows the vast number of refugees hosted in camps around Kenya, this shows we are the best neighbors ever. Everyday you hear illegal immigrants comes from Uganda, Tanzania, Somalia and even Ethiopia..they all come here seeking for greener pasture, and save for the recent insecurities encountered, Kenya used to accomodate them.
Kenya is already have a working space agency with working satellite in Malindi. The government is planing to start a space programme that will send working satellites in space to help man Kenyan boarders. As from 2008 the government introduced courses in its universities on space exploration, like astrophysics and astronomy. Also with growing uptake of technology and the grand ICT plan of building an ICT park in Kenya like the one in California Kenya is showing great potential.
Pages: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10


Africa's 10 Most Influential Countries (Big 5 and the Newcomers) - Page 4 of 10 - Africa Cradle

Nimecheka sana nlipoona kwenye hii bogaz ripoti yako waganda, rwanda nao wamo pia. yaani nlicheka mpaka watu wakanishangaa. Really? Nyie wakenya mna matatizo ya akili na pia mnapenda sifa zisizo na tija na za rejareja. Uganda or Rwanda hata ndani ya East Africa wanasikiliza watu nini wanasema. ndani ya East Africa ni Tanzania, na ndio nchi haipelekwi pelekwi na ndio nchi inayotofautiana na jumuiya nzima ya East Africa juu ya muundo wa East Africa na mambo ya kiuchumi kama tulivyo kataa some of the proposed integration protocols, na pia kukataa kusaign EPA na EU na hakuna wakutuambia tutoke or chochote. Hizo ndio true influence sio mambo ya kuandika andika ujinga. Nyie ni majuha!
 
"This follows the vast number of refugees hosted in camps around Kenya, this shows we are the best neighbors ever. Everyday you hear illegal immigrants comes from Uganda, Tanzania, Somalia and even Ethiopia..they all come here seeking for greener pasture, and save for the recent insecurities encountered, Kenya used to accomodate them."

Hivi ni camp gani huko Kenya wapo watanzania? Kuna Wakenya wengi mno wanaofanya kazi Tanzania kuliko jinsi ilivyo Kenya. Ndio maana mda wowote Tanzania inapotangaza kuwatimua wageni haram, wavamia kazi wakwanza kulia lia ni Wakenya na ni wengi tu wanadipotiwa, mbona hatuoni WaTz wakilialia. Kenya nayo ni sehemu ya kuishi binadam?
Usijali, lakini ni kheri ukubali ya kwamba Kenya ndio moja kati ya mataifa babe zaidi barani humu, na ni powerhouse ya east na central Africa. Influence kubwa sana kwenye kanda hili tunalo.
 
Usijali, lakini ni kheri ukubali ya kwamba Kenya ndio moja kati ya mataifa babe zaidi barani humu, na ni powerhouse ya east na central Africa. Influence kubwa sana kwenye kanda hili tunalo.

powerhouse ni nchi yenye jeshi la kutisha na kwa bahati mbaya kwenye hiyo idara Kenya haiwawezi hata Rwanda, Uganda sio saizi yenu. Kama unaakili timamu jiulize kwanini jesho la America limeweka camp ndani ya South Korea ikiwa South Korea wana uchumi mkubwa zaidi ya North Korea na wanaweza kujilinda?

Ndani ya East and entire Southern of Africa, JWTZ ndio baba yenu.

mageneral na machif wa armed forces za kuanzia South, Zimbwabwe, Namibia, Angola, Mozambique trained TZ pamoja na maraisi wao wote walio madarakani hivi sasa. Pia usisahau kua, Museven mapaka mtoto wake Gen Muhoozi tranied Tanzania, na pia usisahakua hata wale mabwege waliotaka mpindua Nkurunzinza pia trained TZ na usisaha kua, Kagame tulimtrain sisi na tukamtrain kama Spy na tulimtuma katika mishen kibao africa. Huko Congo, kuanzaia laurent kabila baba yake trained TZ na mpaka mtoto leo raisi. Sisi tulimpokea Jacob Zuma wa south na kumuonesha kua hii ni Bunduki, inashikwa hivi, fyatua, kipindi hicho alikua akijua kukimbiza mbuzi tu malishoni.

in short, Kenya bado sana, hamna hata war veteran mmjoa kwenye jeshi lenu, hakuna hata general mmoja kwenye jeshi lenu ni general aliyetokea kwenye mishen yoyote ya kivita, ni mageneral tu wakupewa.
 
A debate with a dumb ass from Tz is painful. The guy claims to be giving facts but I will send you to the flow of this thread there is no where you ever provided any information you are calling facts. Go back thru the comments. I provided all what you claim to be facts lazy boy!!

Let me give back to you again before you get killed by hangover za vijiweni!!

"Mungu ibariki Afrika" was translated and became the anthem of Tanganyika. It was essentially assigned to Enoch Sontonga, who died in 1905. Mungu ibariki Afrika used the tune to "Nkosi Sikelel' iAfrika" with a Swahili translation of the words. It is not known who composed the lyrics but it is known that it was Samuel Mqhayi and Enoch Sontonga who created the early versions used by theAfrican National Congress.[2] Although the tune has been assigned to Sontonga it is thought that the tune was originally written byJoseph Parry.[3][1] wikipedia

Usitukane watu, stick kwenye facts - kumbuka mtu yeyote anaweza ku doctor kilicho andikwa kwenye wikipedia akaongezea chochote, mengi uliyo andika yana ukweli ila unatibua unapo muhusisha mzungu kwenye wimbo uliyo tungwa na kuandikwa na Wa Xhosa - nyinyi wakati mwingine mnatawaliwa sana na colonial hangover - mnafikiri mtu mweusi hawezi kufanikisha kitu bila ya Mzungu kuwa around kuki-refine!!!
 
Back
Top Bottom