kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Nawasalimu Great Thinkers,
Kama kuna watu waliojaliwa vipaji na wamevitumia ni hawa jamaa wawili Diblo Dibala na Dally Kimoko, hawana utani wanapokamata mpini, mfano Diblo Dibala (Extra Boy), Dally Kimoko (Liza), si mchezo achilia mbali bendi zao za kazi ila wamekuwa wakitumiwa na bendi nyingine kurecord, kama kuna mwenye nyimbo walizopiga mpini leteni humu tusikie mambo, nani zaidi kati ya hawa magwiji wa mpini?
Kama kuna watu waliojaliwa vipaji na wamevitumia ni hawa jamaa wawili Diblo Dibala na Dally Kimoko, hawana utani wanapokamata mpini, mfano Diblo Dibala (Extra Boy), Dally Kimoko (Liza), si mchezo achilia mbali bendi zao za kazi ila wamekuwa wakitumiwa na bendi nyingine kurecord, kama kuna mwenye nyimbo walizopiga mpini leteni humu tusikie mambo, nani zaidi kati ya hawa magwiji wa mpini?