sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,568
- 7,430
Msanii Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya Msanii Bora kutoka Afrika kwa mara ya 3 katika mashindano ya MTV Europe Music Award 2023 ( MTVEMA2023 )
diamond amewashinda
Asake, BurnaBoy (Nigeria)
Libianca (Cameroon) na TylerICU (Dj wa Afrika Kusini).
Hongera sana sisi wanaJF tunathamini unavyotupa heshima kama taifa.
Tunasema Diamond ni Greatest of all time hapa East Africa.