heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Muulizeni R.KELLY kuhusu ali kiba
Waulize MTV na BIG BROTHER kuhusu diamond
Muulizeni R.KELLY kuhusu ali kiba
kila kitu khusu diamond ni best..kuanzia uvaaji wake..upangiriaji wa shows zake..tungo zake n.k ni tofaut sana na alivyokuwa ali k(maana siku hiz ni kama hayupo ametoa wimbo wa my everything bila shaka ni wachache tu wanaoufahamu
)
Na mabinti tutasema ni kiba coz ana mvuto lolz...Watakuja mabinti watakwambia
Wote washamba
Ndio atoe singo sasa, sinyuko jikoni.
Umemsahau marlaw. Toka aoe yupo kimya wakati jamaa ni mkali kuliko daimond
Akili ya maisha haifundishiki, na kukulia tandale ndio kabisaaaa, Havard ya maisha. Namheshimu Diamond sana, tena sana!
Umemsahau marlaw. Toka aoe yupo kimya wakati jamaa ni mkali kuliko
marlaw hela za ccm zilimlevya 2010 naona mpaka leo bado anazitumbua
Mtu hata awe maarufu vipi, kwangu kama haja imba hata wimbo mmoja wa kuzungumzia uozo wa serikali na chama lake kwa kutuharibia nchi na kunyonya wananchi, huyo kwangu ni bure tu. Akili haiwezi kuishia kuimba mapenzi tu lazima kuta kuwa na tatizo la elimu kwa mtu huyo.
Nawapa salute akina Prof. J, Mr. II, Kala Jeremiah, E. Sanga na wapenda nchi kama hao kuliko wapenda magodolo, uroda na misifa ya kijinga.