Hii shule iko City Centre as it is, na ndo mambo ya kishenzi hayo yanafanyika, na serikali ndo ipo huko kwenu darisalam! Sasa huku mkoani itakuwaje! Mlengesheni mwalimu mmoja mwenye tabia hiyo hela za moto, akashikishwe ukuta huko Segerea!...This is too much!
Suzzie ndugu yangu jaribu kufuatilia vizuri. Zamani zilikuwa hivyo lakini sasa hamna kitu watoto wanaongea kiswahili kwenda mbele wameweka kibao tu nje SPEAK ENGLISH.Yaani kwa kweli imekuwa kero kubwa sana, mwalimu wa kwanza alitaka 200,000 nikamuomba japo anipunguzie akakataa na kuniambia katafute ukiwa tayari njoo.
Wa pili akapanda dau na kutaka 250,000 nikauliza kulikoni mbona pesa nyingi kiasi hicho akadai anakula na wenzie hivyo bila kiasi hicho haiwezekani.