King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
Exkot sawa na ving'ora je? Haya ya nini kuwachomesha mahindi watu kwenye foleni? Kama ana hela aweke plate number private kama kina nwanko kanu,ushawah ona superstar mwenye hela anatembelea opa? Hata bob jr anamshinda kwa gari zuri kutwa kujisifia oh nimeingiza m 100 pale mcity,diamond unajiaibisha uza opa nunua hata jaguar xtype.