Bosi Michembe
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 271
- 87
Mwacheni asafishe nyota.. Sema picha ya kwanza kama dada ameziba maeneo kwa mkono vile..
Atampata wapi! yupo ma-mbele mtoto wa watu anakula bata baada ya kufumua paper ya Form Four. Akirudi huku ana shahada ya Uzamili huyo limbukeni atamwambia nini.Aanaangalia na wa kuwachezea
Apige picha hiyo na mwana asha aone mziki wake
Huyo wa kwanza sio Shamsa Ford?
Mbona huyu demu ni kama alikuwa anajua anapigwa picha,huyu ni Diamond kweli?