mnh wema huo mkorogo......
Sisis kule kwetu na akina Mwita, mwanamke asipodundwa hapendwi na anaweza hata kuomba talaka.khee kumbe yamerudiana..
mapenzi ya ubondia mwishowe kutoana mangeu. Diamond anatafuta sababu ya kumwacha Wema
mnh wema huo mkorogo......
umebadilisha avatar? safi sana. unaendeleaje? kama nilisikia unaumwa!??Kesho utasikia story ingine Wema amechukua RB
...Kwa sababu kupigwa na kutolewa magazetini namna hii ni udhalilishaji wa aina yake
Mkuu usikompliketi maisha, ndio maana kuna majukwaa lukuki na unachagua unalopenda. kama hupendi umbea kuna majukwaa kama hoja nzito na jamii intelijensia, huko hakuna ubabaishaji,Nachukia sana umbea,hivi hakuna mambo ya maana ya kuwaambia watu mpaka yawe mambo binafsi ya watu?Ni wangapi tunapigana na wenzi wetu na hatutangazi?
bila wema na diamond watoto wa shigongo wanakufa njaa
Safi sana mwanamke asie sikia ni kumzabua tu vibao
Elimu ndogo, ushamba na mapepe ndivyo vinavyochangia. Wanauza story magazetini ili mkono uende kinywanimapenzi ya ubondia mwishowe kutoana mangeu. Diamond anatafuta sababu ya kumwacha Wema
Diamond made a grave mistake... Wema is always full of drama, and the boy is in it now!!!Kesho utasikia story ingine Wema amechukua RB
hiyo itakula kwa diamond, coz watu hawatumheshimu tena kwenye jukwaaElimu ndogo, ushamba na mapepe ndivyo vinavyochangia. Wanauza story magazetini ili mkono uende kinywani
Mahawala hawaachani