Wajumbe hamjambo? poleni na michakato ya kuzisaka.
==================================
Ninadhani mmeshawahi kusikia hii dhana ya katerero.Kiukweli nimekuwa nikiifatilia sana kwani kwa mujibu wa watu kutoka lilipo eneo hili wanasema ni eneo ambalo kuna soko kubwa lenye mchango mkubwa kwa taifa
================================
Kama kuna mwenye maneno ya kujazia kuhusu hapo Katerero heb tupia tuone twaweza ukuza utalii hapa
==================================
Ninadhani mmeshawahi kusikia hii dhana ya katerero.Kiukweli nimekuwa nikiifatilia sana kwani kwa mujibu wa watu kutoka lilipo eneo hili wanasema ni eneo ambalo kuna soko kubwa lenye mchango mkubwa kwa taifa
================================
Kama kuna mwenye maneno ya kujazia kuhusu hapo Katerero heb tupia tuone twaweza ukuza utalii hapa