RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
mkuu yule alishinda kwa kupitia mchakato na uko wazi kama ule wa riz1 kule chalinze? au unataka ulinganishe na huo wa akina kileo, mnishi na malya? kwani huko chadema hakuna makabila mengine wanaoruhusiwa kugombea? maana tumeona hata akina Zitto wakitolewa baru kwa kukikodolea kiti cha mbowe.
Akili za kiabunuasi siku zote ni SHIDAAA... Hao uliowataja hawana uwezo? utendaji wao unauonaje? Unataka tuwaache watendaji tuanze kuteua kwa makabila na ukanda kama ambavyo ikulu inavyofanya kwa mawaziri?...wachina wanasema Rangi ya paka si hoja, hoja ni uhodari wake wa kukamata panya... Kasumba ya kuteu kwa kufuata ukanda na ukabila bila ya kuangalia vigezo muhimu imeturudisha sana nyuma Watanzania...