sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
ni kuhusu chenji za rushwa ya rada, na hatua ya walionunua rada ,,
Deo anatafuta punishment kwa chama....taratibu!!
CCM wasije Wakam' Chifupa au Wakam'mwakyembe.
hana cha ukweli wala nini,kama angekuwa mwanaume kweli angepiga kura ya hapana tumsikie,akawaonesha wananchi kuwa yeye haoongozwi na matakwa ya chama.ku kaa kimya kumemprove falier.mbunge wa Ludewa ni MWANAUME WA UKWELI ametaka kujua hatima ya waizi na madalali walio tuhujum kwenye rada na ametaka kujua maelezo rasimi kuhusu fedha zilizo rudishwa; na hatua kwa wahujum ametolea mfano uingereza walivyowashughulikia kisawasawa waizi wa fedha zetu za rada kwan upande wa tanzania serikali yetu inaonekana imezubaa kuwashughelikia wezi na madalali wale,,, lakini kwa kuwa makinda ndo mama mwenye nyumba amefunika chini ya kapeti sakata hilo!! nini maoni yako kama mtanzania uliye hujumiwa na kupigwa chenga ya mwili ?kwa sababu kimsingi watanzania hatujatendewa haki ,,
No no no! Deo abakie hukohuko CCM na tunamwombea 2015 ashinde ili CCM itakapo kuwa chama cha upinzani iwe na wabunge makini wa kuikosoa Chadema inapokwenda kombo.hongera Deo.
2015 jiondoe CCM na jiunge na kina Godbless Lema ambao ni majasiri kama wewe.