Deo agro campany

Bavaria
Nilitaka niku pm naona pm haifunguki, naomba ushauri zaidi, haswa unajihusisha na kuprocess mazao gani changamoto zikoje
 
Last edited by a moderator:
Kuna mbolea ya Em AX ni rafiki wa mazingira, je una habari na hiyo kitu???
 
Bavaria
Nilitaka niku pm naona pm haifunguki, naomba ushauri zaidi, haswa unajihusisha na kuprocess mazao gani changamoto zikoje

Mazao mbalimbali mkuu. Nitajikita kwenye changamoto;
1. Mtaji ni shida, hasa ukiwa umepata soko zuri unahitaji raw materials nyingi, vifaa, na rasilimali watu.
2. Soko nalo ni shida, hapa ni vizuri kama una process toka shambani kwako ukaanza kuapproach mahoteli ya karibu wakakupa order. Hatuna haja ya kuwategemea sana madalali, wananyonga wale.
3. Labour hasa wafanyakazi waaminifu, watu watakaofanya kile unachotaka kwa wakati na uaminifu wa hali ya juu. (hili ni tatizo kubwa sana)
4. Maintaining productions, hapa ni kuzalisha kwa kiwango kilekile wakati wote, endapo ukawa na constant order. Mazao ya msimu yanasumbua sana. Hakikisha unapata a constant supply of inputs.

PM yangu ina matatizo mkuu, usisumbuke nayo.
 
Mazao mbalimbali mkuu. Nitajikita kwenye changamoto;
1. Mtaji ni shida, hasa ukiwa umepata soko zuri unahitaji raw materials nyingi, vifaa, na rasilimali watu.
2. Soko nalo ni shida, hapa ni vizuri kama una process toka shambani kwako ukaanza kuapproach mahoteli ya karibu wakakupa order. Hatuna haja ya kuwategemea sana madalali, wananyonga wale.
3. Labour hasa wafanyakazi waaminifu, watu watakaofanya kile unachotaka kwa wakati na uaminifu wa hali ya juu. (hili ni tatizo kubwa sana)
4. Maintaining productions, hapa ni kuzalisha kwa kiwango kilekile wakati wote, endapo ukawa na constant order. Mazao ya msimu yanasumbua sana. Hakikisha unapata a constant supply of inputs.

PM yangu ina matatizo mkuu, usisumbuke nayo.
Mrejesho mkuu
 
Habari za siku wakuu, nimekuwa kimya mda mrefu hii ni kwa sababu ya ubize na kupata faida kidogokidogo kwa kila mvuno, ninaendelea na kilimo cha bustani ingawa sijastep sana, nikitulia nitawapa mrejesho vizuri(kwani kikundi kimesambaratika na nimebaki mwenyewe, nikiendeleza ila siko vibaya sana)
 
Habari za siku wakuu, nimekuwa kimya mda mrefu hii ni kwa sababu ya ubize na kupata faida kidogokidogo kwa kila mvuno, ninaendelea na kilimo cha bustani ingawa sijastep sana, nikitulia nitawapa mrejesho vizuri(kwani kikundi kimesambaratika na nimebaki mwenyewe, nikiendeleza ila siko vibaya sana)
big up mkuu.
 
DEO AGRO COMPANY
Ni kampuni mpya ambayo inajihusisha na mambo ya kilimo, kwa sasa imeanza na kilimo cha cha mbogamboga na matunda, kwa kua ndio imeanza imekodi hekari sita kwa miaka mitatu na inatumia drip irrigation katika umwagiliaji,inazalisha mchicha, nyanya vitunguu, tikitimaji, karot,cabbage na matango. mazao haya yanazalishwa kwa awamu, lakini kwa mpango wa baadae tunawaza kuwa wasambazaji wa mazao ya kilimo, pembejeo na zana za kilimo,pia tunatafuta wafadhiri zaidi ili kufikia malengo tajwa, na tunatafuta wawakilishi mikoan ambao wanataaluma ya kilimo ambapo kwa sasa watafanya kazi kwa kujitolea huko walipo kwa lengo la kutafuta soko la bizaa zinazo zalishwa na kampuni hii, kwa sasa kampuni haina wateja wengi ingawa ina wateja kenya(nairobi),serengeti,mwanza mjini,arusha na tabora,pia ingawa uzalishaji una awamu mbili sasa lakini tumejihakikishia uzalishaji kwa mwaka mzima,tuko tayari kuingia mkataba wa kusapply katika taasisi mbalimbali tz,
kwa mawasiliano
(deo.agroc@gmail.com)tupo mwanza magu.
magu sehemu gani mkuu
 
Back
Top Bottom