Deo agro campany

Jun 25, 2015
14
7
DEO AGRO COMPANY
Ni kampuni mpya ambayo inajihusisha na mambo ya kilimo, kwa sasa imeanza na kilimo cha cha mbogamboga na matunda, kwa kua ndio imeanza imekodi hekari sita kwa miaka mitatu na inatumia drip irrigation katika umwagiliaji,inazalisha mchicha, nyanya vitunguu, tikitimaji, karot,cabbage na matango. mazao haya yanazalishwa kwa awamu, lakini kwa mpango wa baadae tunawaza kuwa wasambazaji wa mazao ya kilimo, pembejeo na zana za kilimo,pia tunatafuta wafadhiri zaidi ili kufikia malengo tajwa, na tunatafuta wawakilishi mikoan ambao wanataaluma ya kilimo ambapo kwa sasa watafanya kazi kwa kujitolea huko walipo kwa lengo la kutafuta soko la bizaa zinazo zalishwa na kampuni hii, kwa sasa kampuni haina wateja wengi ingawa ina wateja kenya(nairobi),serengeti,mwanza mjini,arusha na tabora,pia ingawa uzalishaji una awamu mbili sasa lakini tumejihakikishia uzalishaji kwa mwaka mzima,tuko tayari kuingia mkataba wa kusapply katika taasisi mbalimbali tz,
kwa mawasiliano
(deo.agroc@gmail.com)tupo mwanza magu.
 
Big up sana mkuu.
Kwa sasa mko mkoa gani?

NiPM tubonge zaidi.

Mkuu, tuko mwanza wilaya ya magu hujaona hapo juu? kwakuwa kampuni hii imebuniwa na imeanzishwa kwa ushauri na michango ya wana jf, tunaomba ushauri zaidi ili kufikia malengo,pia tunaomba busiminat na wengine watupe msaada zaidi, kampuni hii inawataalam watatu wa kilimo ambao wako hapa magu, ilianza kama hobby na sasa imejikita kikazi zaidi ingawa changamoto zipo, kama masoko,hali ya hewa na mtaji, kwani kwa sasa inamiliki assets kadhaa za mda mrefu kama pikipiki za usafiri na system za umwagiliaji ingawa hazitoshi kwa malengo,na inataka ijiboreshe zaidi,pia kwa sasa imeanza kujiendesha yenyewe,na imejiwekea vipaumbele kadhaa ili kuifanya ifanikiwe na kusonga mbele,
1)kuheshimu kipato ingia na matumizi bora ya fedha,
2)kuzarisha bidhaa bora,
3)kutopoteza wateja ilio nao na kuongeza wengine.
jamani karibuni tushirikiane
 
hapa nawapongeza sana na sana kwakuwa ninamoyo wa kuendeleza uzalishaji,nitajitahidi niwe mzamini wa kampuni hii ili mpate mkopo na m-endelee zaidi, uzalishaji ni kitu cha msingi kuliko uchuuzi,uzalishaji ukiwa juu pato letu pia linapanda, niwaombe wenye uwezo wa kuwasaidia pia wawasaidie kama mlivyoomba angalau mnaweza kumiliki mashamba pia badala ya kukodi.
 
Okey, wazo zuri sana, na hongereni.., ila title ina misspelling kwenye neno kampuni, 'a' instead of 'o'., company
 
hapa nawapongeza sana na sana kwakuwa ninamoyo wa kuendeleza uzalishaji,nitajitahidi niwe mzamini wa kampuni hii ili mpate mkopo na m-endelee zaidi, uzalishaji ni kitu cha msingi kuliko uchuuzi,uzalishaji ukiwa juu pato letu pia linapanda, niwaombe wenye uwezo wa kuwasaidia pia wawasaidie kama mlivyoomba angalau mnaweza kumiliki mashamba pia badala ya kukodi.

Tuna shukuru sana bab-d, itafaa zaidi tukiwasiliana
 
Kaka Deo Big up; weekend moja nitakutembelea huko Magu nijifunze nitakayoyaweza kutoka kwako. Magu mjini au pande zipi Deo??? Mi niko Mwanza City
 
Hongera mkuu...
Nakushauri uangalie uwezekano wa kuadd value na uka export. Mwanzo huwa ni mgumu ila mambo lazima yaje kuwa safi kama utakuwa dedicated na clear strategies.

Fuata sheria za kilimo, tafuta wataalamu wawe wanakutembelea hata kwa gharama ila its the best way. Tembelea maonesho kama nanenane uone wenzako wanafanya nini

Usikate tamaa mkuu, kilimo kinalipa asikwambie mtu. Ukikomaa haswa ndani ya miaka mitatu unakuwa milionea. This is guaranteed.

Mimi nina kampuni kama yako, nalima, na process halafu naexport. Mwanzo ulikuwa mgumu sana ila sasa hivi mambo yapo safi.
 
Hongera mkuu...
Nakushauri uangalie uwezekano wa kuadd value na uka export. Mwanzo huwa ni mgumu ila mambo lazima yaje kuwa safi kama utakuwa dedicated na clear strategies.

Fuata sheria za kilimo, tafuta wataalamu wawe wanakutembelea hata kwa gharama ila its the best way. Tembelea maonesho kama nanenane uone wenzako wanafanya nini

Usikate tamaa mkuu, kilimo kinalipa asikwambie mtu. Ukikomaa haswa ndani ya miaka mitatu unakuwa milionea. This is guaranteed.

Mimi nina kampuni kama yako, nalima, na process halafu naexport. Mwanzo ulikuwa mgumu sana ila sasa hivi mambo yapo safi.

tunashukuru mkuu.
 
Hongera mkuu...
Nakushauri uangalie uwezekano wa kuadd value na uka export. Mwanzo huwa ni mgumu ila mambo lazima yaje kuwa safi kama utakuwa dedicated na clear strategies.

Fuata sheria za kilimo, tafuta wataalamu wawe wanakutembelea hata kwa gharama ila its the best way. Tembelea maonesho kama nanenane uone wenzako wanafanya nini

Usikate tamaa mkuu, kilimo kinalipa asikwambie mtu. Ukikomaa haswa ndani ya miaka mitatu unakuwa milionea. This is guaranteed.

Mimi nina kampuni kama yako, nalima, na process halafu naexport. Mwanzo ulikuwa mgumu sana ila sasa hivi mambo yapo safi.
kilimo chako kimebase kwenye mazao gani na unalima wapi?
 
big up. mwanzo mzuri. nane nane hii usikose kuzungukia walau maonesho ya kanda mbili hivi, hutakosa kujifunza kitu kipya.
 
navutiwa sana kulima lettuce naomba mwenye ujuzi wa kilimo hiki yupeana taarifa
 
Back
Top Bottom