MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
when ur in school you will find to know nothing... am here to follow you as a student. please , bring more
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo huko nyuma kama miaka miwili hivi gazeti la Mwanahalisi liliweka hadharani habari za huyu jamaa hasa uhusiano wake na Zitto na mawasiliano yao kupitia emails. Sijui ni kweli kiasi gani juu ya yote yaliyosemwa lakini walau binafsi nilimfahamu Msacky kupitia ile stori. Itakumbukwa pia baada ya mawasiliano yake kuwekwa hadharani kwa mtindo ule ulitoumika kuweka habari za Mchange akitoa rushwa kwa MPESA kwenye uchaguzi wa Bavicha, Zitto akiwasiliana na Jack Zoka wa TISS na Ramadhani Inghondu wa TISS, Zitto anadaiwa kulalamika kuingiliwa mawasiliano yake ya siri kwa njia ya emails kwenda kwa Msacky. Naweza kuwa sijakidhi haja yako lakini walau hayo machache ni mazingira ya huyo Msacky kwenye saisa za Tanzania. Haya hayajaanza wakati wa Tido Mhando ni mambo yaliyotokea kipindi kirefu kilichopita
Tumbo linanivuruga MwanaJF ukisema hivyo kwa hiyo inamaana Zitto na rafiki zake wamekuwa adui wa Chadema ,najiuliza kwa nini Zitto anaendelea kuhatarisha maisha yake kwa kubakia chadema duh kweli maajabu sana
Kwa uelewa wangu wa mdogo wa mambo yanavyoenda katika nchi hii ambayo wahusika wakuu wamegoma kufikiri ni kwamba hili sakata la Lwakatare na video ya kutengeneza ile CCM na waajiliwa wao yaani serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalama wanataka kutusadikisha kuwa wanaofanya ugaidi ni Chadema. Wanataka kutuambia kuwa waliomtesa Ulimboka ni Chadema, waliommwagia Tindikali mhariri wa mwanahalisi ni Chadema na hata waliotaka kumuua Kibanda ni Chadema.
Nasema hivi kwasababu wamemchukua Lwakatare anayedeal na maswala ya usalama kwa viongozi wa Chadema. Kuna tofafuti gani kati ya Kibanda na Ulimboka? Mbona la Ulimboka limewekwa chini pamoja na watu kutajwa kwa majina? Lakini ni lazima yote haya yaotokee na ndipo saa ya ukombozi ifike.
Msaki ni mtanzania huru na mhariri mtendaji wa gazeti la mwananchi. Kosa lake ni kuwa na urafiki na zitto. Alitakiwa awe na urafiki na mbowe au slaa
DOWANS aka Rostam kishaanza kulipwa. I guess Zitto is very happy!Jamani lazima tuheshimu mawazohuru ya kila mmoja hata kama tunatofautina nae kimtazamo, inabidi pia tujue kwa nini ZITTO asipendwe ndani ya chama akipendacho. ni kwa sababu anatokea Kigoma au kwa kua yeye ni mwislam, kuna mambo mengi sana ya kujiuliza kabla hatujalaumu upande wowte
MwanaHalisi yaanika SIRI za Mawasiliano ya Zitto na Denis Msacky wa MwananchiSote tunatambua JF ni kisima cha taarifa, watu wanafahamu mambo mbalimbali ambayo kwa kweli yamefanya Jamvi hili kuwa ndio kitovu cha habari nchini kwa sasa kwa namna nyingine naweza kusema ndio CCN yetu manake tukio linaripotiwa papo papo naombeni wana JF wenzangu nimfahamu Denis Msaki
Ni na Nani kwenye siasa za Mtanzania
Je gazeti la Mwananchi baada ya TIdo Mhando limeamua kujiingiza kwenye siasa za Tanzania mlengo wa CCM
Je Lwakatare angepanga kumgaidi sijui ndio tafsiri raisi au kumpa sumu kwa sababu zipi
Je sheria ya ugaidi ni hii ya watanzania kwa watanzania kutaka kuweeana sumu
Je Denis Msaki huko nyuma amewahi kuwa mwanachama wa chadema
haya basi nifahamisheni mwana JF mwenzenu
Uonavyo wewe hapo kuna mkristo? hii ya lwakatare haina tofauti na ya makasisi au makanisa
MwanaHalisi yaanika SIRI za Mawasiliano ya Zitto na Denis Msacky wa MwananchiSote tunatambua JF ni kisima cha taarifa, watu wanafahamu mambo mbalimbali ambayo kwa kweli yamefanya Jamvi hili kuwa ndio kitovu cha habari nchini kwa sasa kwa namna nyingine naweza kusema ndio CCN yetu manake tukio linaripotiwa papo papo naombeni wana JF wenzangu nimfahamu Denis Msaki
Ni na Nani kwenye siasa za Mtanzania
Je gazeti la Mwananchi baada ya TIdo Mhando limeamua kujiingiza kwenye siasa za Tanzania mlengo wa CCM
Je Lwakatare angepanga kumgaidi sijui ndio tafsiri raisi au kumpa sumu kwa sababu zipi
Je sheria ya ugaidi ni hii ya watanzania kwa watanzania kutaka kuweeana sumu
Je Denis Msaki huko nyuma amewahi kuwa mwanachama wa chadema
haya basi nifahamisheni mwana JF mwenzenu
.
Denis Msaki ni mwanahari kama alivyo Jery Muro au marehemu Mwangosi, au Kubenea. Ila polisi wa Tanzania ambao wengi ni STD 7 na Form4 failure hawaelewani nao kwa utofauti wa IQ zao.
jery kabambikizwa kesi baada ya kuwarusha hewani hawa polisi wakinyanganya watu pesa kinguvu.
Kubenea yeye kamwagiwa tindikali na gazeti lake kufungiwa baada ya kueleza ukweli kuhusu aliyemteka Ulimboka.
Mwangosi yeye kauawa na polisi baada ya kumuuliza maswali magumu R.PC.
denis yeye anataka kutumiwa kama kondomu ya kuahirisha unyama wa polisi katika jamii.
.
MwanaHalisi yaanika SIRI za Mawasiliano ya Zitto na Denis Msacky wa MwananchiSote tunatambua JF ni kisima cha taarifa, watu wanafahamu mambo mbalimbali ambayo kwa kweli yamefanya Jamvi hili kuwa ndio kitovu cha habari nchini kwa sasa kwa namna nyingine naweza kusema ndio CCN yetu manake tukio linaripotiwa papo papo naombeni wana JF wenzangu nimfahamu Denis Msaki
Ni na Nani kwenye siasa za Mtanzania
Je gazeti la Mwananchi baada ya TIdo Mhando limeamua kujiingiza kwenye siasa za Tanzania mlengo wa CCM
Je Lwakatare angepanga kumgaidi sijui ndio tafsiri raisi au kumpa sumu kwa sababu zipi
Je sheria ya ugaidi ni hii ya watanzania kwa watanzania kutaka kuweeana sumu
Je Denis Msaki huko nyuma amewahi kuwa mwanachama wa chadema
haya basi nifahamisheni mwana JF mwenzenu
Mwana JF
Tusipokuwa macho hawa CCM watatugawa kikabila na tutaanza kupigana,kunyanyapaawatanzania wenzetu na watu kama wakwere ,wazanaki,wandengereko,wamakua nawamwela hawatapata uongozi wa nchi kamwe kwa sababu makabila ni madogo,CCM sasahivi wametengeneza syndicate ya kumdharau Nyerere kumshusha hadhi nakumdhalilisha lakini ukweli kitu alichofanyia nchi yetu kizuri kulikuo yoteilikuwa ni kutuunganisha na kuondoa ukabila ,Je tumuulize Bulembo Kilimanjaroau Moshi ni Chadema peke yao au wako CCM na TLP ,NCCR iliwahi kuwa na wabungekule jamani inadhihirisha sasa kwamba kampeni zao zinafanikiwa Kikwetealipokuwa anapokea ushindi wa mwaka 2010 alisema uchaguzi ulitawaliwa na udiniakalalama kwamba ataumaliza sasa sikiliza alivyofanya
Naomba mwenye data za mabalozi wa Tanzania anipe kama ni wangapi na percent ya waislamu ni ngapi. hii itatisha!!
Raisi-Mwislamu
Makamu wa Raisi-Mwislamu
Jaji Mkuu-Mwislamu
Mkuu wa Usalama wa Taifa -Mwislamu
Waziri wa Ulinzi-Mwislamu
Mkuu wa Jeshi la Polisi-Mwislamu
Mkuu wa Polisi Kanda Maalumu-Mwislamu
Kati ya wakuu wa mikoa -28- 19 waislamu
Matajiri Kumi wa Nchi hii-10 waislamu-1 Mkristo
Asilimia 78 ya wajumbe wa kamati kuu ya wajumbe wa CCM- waislamu
Asilimia 81 ya wajumbe wa tume ya katiba waislamu
Asilimia 66 ya wakuu wa wilaya waislamu
KIkwete ameingiza mfumo Islamu nina wasiwasi anaposema au anapotuma watu wakekusema huwa ameshaamua jambo fulani ameshatutenga kidini sasa atatutengakikabila si mtu mwema hata kidogo kwa mustakabali wa taifa hili kiongozi mzuriangemtuma mtu akanushe maneno ya Bulembo lakini yeye anashabikia kwa sababuanataka kuwanyanyapaa wachaga bila sababu,Nape alisema hivyo hivyo kamaBulembo,Kinana alisema hivyo hivyo kama Bulmbo,Mwigulu alisema hivyo hivyo kamaBulembo Mtoto wa Kikwete yeye ndie aliyeapa kwamba Haitakaa itokee kaskaziniitoe raisi ,Mtanzania mwenzangu tafakari
I really feel so sad for such a resourceful young politician as Zitto to be painted in so controversial and paradoxical colours. I wonder if his detractors are sure of what they are bringing up. If it is even partly true, the young man must be breaking apart inside. I wish he could clarify matters, clear this mess and restore our faith again. Otherwise, I'm becoming convinced that the CCM monster is unstoppable in its quest to consume the integrity in almost all of us - the savvy and the lay alike. In that context, CHADEMA's quest for restoring credibility in Tanzanians may end up a pipe dream.wakati huo huo Zitto ni rafiki wa karibu wa Jakaya Kikwete na Jack Zoka!
wimbo ule ule chadema na ugaidiVipi mkuu, umeamua kubadirisha wimbo?
nilishangaa kutajwa dr.Slaa bila watu kumtetea!huyu jamaa hata akianzisha dini yake watu watamfwata.
Ahsante mwana JF kwa kumbukumbu hizi sasa nazidi kutaka kumfahamu huyu Denis yaani tangu mwaka 2007 yupo kwenye mtandao wa Zitto.Msacky,Zoka,Ighondu wakiwa katika harakati za kuihujumu chadema ,najiuliza huu mtandao unaweza ukawa na watu wangapi,wa vyeo vipi na kwa nini sasa yaani
wanataka turudi kwenye mfumo wa chama kimoja
je hawa wana mtandao wanaheshimu maamuzi ya wananchi kushiriki siasa wanazopenda
Je ni kwa nini wanataka kunyamazisha sauti ya wananchi
je wako tayari kuingiza nchi kwenye machafuko na kama ndivyo kwa faida ya nani