Kime-Smell !!
Eti ?
Au?
Mwana JF
Tusipokuwa macho hawa CCM watatugawa kikabila na tutaanza kupigana,kunyanyapaawatanzania wenzetu na watu kama wakwere ,wazanaki,wandengereko,wamakua nawamwela hawatapata uongozi wa nchi kamwe kwa sababu makabila ni madogo,CCM sasahivi wametengeneza syndicate ya kumdharau Nyerere kumshusha hadhi nakumdhalilisha lakini ukweli kitu alichofanyia nchi yetu kizuri kulikuo yoteilikuwa ni kutuunganisha na kuondoa ukabila ,Je tumuulize Bulembo Kilimanjaroau Moshi ni Chadema peke yao au wako CCM na TLP ,NCCR iliwahi kuwa na wabungekule jamani inadhihirisha sasa kwamba kampeni zao zinafanikiwa Kikwetealipokuwa anapokea ushindi wa mwaka 2010 alisema uchaguzi ulitawaliwa na udiniakalalama kwamba ataumaliza sasa sikiliza alivyofanya
Raisi-Mwislamu
Makamu wa Raisi-Mwislamu
Jaji Mkuu-Mwislamu
Mkuu wa Usalama wa Taifa -Mwislamu
Waziri wa Ulinzi-Mwislamu
Mkuu wa Jeshi la Polisi-Mwislamu
Mkuu wa Polisi Kanda Maalumu-Mwislamu
Kati ya wakuu wa mikoa -28- 19 waislamu
Matajiri Kumi wa Nchi hii-10 waislamu-1 Mkristo
Asilimia 78 ya wajumbe wa kamati kuu ya wajumbe wa CCM- waislamu
Asilimia 81 ya wajumbe wa tume ya katiba waislamu
Asilimia 66 ya wakuu wa wilaya waislamu
KIkwete ameingiza mfumo Islamu nina wasiwasi anaposema au anapotuma watu wakekusema huwa ameshaamua jambo fulani ameshatutenga kidini sasa atatutengakikabila si mtu mwema hata kidogo kwa mustakabali wa taifa hili kiongozi mzuriangemtuma mtu akanushe maneno ya Bulembo lakini yeye anashabikia kwa sababuanataka kuwanyanyapaa wachaga bila sababu,Nape alisema hivyo hivyo kamaBulembo,Kinana alisema hivyo hivyo kama Bulmbo,Mwigulu alisema hivyo hivyo kamaBulembo Mtoto wa Kikwete yeye ndie aliyeapa kwamba Haitakaa itokee kaskaziniitoe raisi ,Mtanzania mwenzangu tafakari
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo huko nyuma kama miaka miwili hivi gazeti la Mwanahalisi liliweka hadharani habari za huyu jamaa hasa uhusiano wake na Zitto na mawasiliano yao kupitia emails. Sijui ni kweli kiasi gani juu ya yote yaliyosemwa lakini walau binafsi nilimfahamu Msacky kupitia ile stori. Itakumbukwa pia baada ya mawasiliano yake kuwekwa hadharani kwa mtindo ule ulitoumika kuweka habari za Mchange akitoa rushwa kwa MPESA kwenye uchaguzi wa Bavicha, Zitto akiwasiliana na Jack Zoka wa TISS na Ramadhani Inghondu wa TISS, Zitto anadaiwa kulalamika kuingiliwa mawasiliano yake ya siri kwa njia ya emails kwenda kwa Msacky. Naweza kuwa sijakidhi haja yako lakini walau hayo machache ni mazingira ya huyo Msacky kwenye saisa za Tanzania. Haya hayajaanza wakati wa Tido Mhando ni mambo yaliyotokea kipindi kirefu kilichopita
Mzee cool down Chadema is a phenomenon note a personalitysielewi kwanini mpaka leo Zitto bado yupo CHADEMA! huyu jamaa ni agent wa TISS lakin wamezidi kumlea sana, Haaminiki hata kidogo na ipo siku atakuja kuiacha CHADEMA pabaya alafu itakuwa too late.
Sote tunatambua JF ni kisima cha taarifa, watu wanafahamu mambo mbalimbali ambayo kwa kweli yamefanya Jamvi hili kuwa ndio kitovu cha habari nchini kwa sasa kwa namna nyingine naweza kusema ndio CCN yetu manake tukio linaripotiwa papo papo naombeni wana JF wenzangu nimfahamu Denis Msaki
Ni na Nani kwenye siasa za Mtanzania
Je gazeti la Mwananchi baada ya TIdo Mhando limeamua kujiingiza kwenye siasa za Tanzania mlengo wa CCM
Je Lwakatare angepanga kumgaidi sijui ndio tafsiri raisi au kumpa sumu kwa sababu zipi
Je sheria ya ugaidi ni hii ya watanzania kwa watanzania kutaka kuweeana sumu
Je Denis Msaki huko nyuma amewahi kuwa mwanachama wa chadema
haya basi nifahamisheni mwana JF mwenzenu
Msaki ni mtanzania huru na mhariri mtendaji wa gazeti la mwananchi. Kosa lake ni kuwa na urafiki na zitto. Alitakiwa awe na urafiki na mbowe au slaa
Mwana JF
Raisi-Mwislamu
Makamu wa Raisi-Mwislamu
Jaji Mkuu-Mwislamu
Mkuu wa Usalama wa Taifa -Mwislamu
Waziri wa Ulinzi-Mwislamu
Mkuu wa Jeshi la Polisi-Mwislamu
Mkuu wa Polisi Kanda Maalumu-Mwislamu
Kati ya wakuu wa mikoa -28- 19 waislamu
Matajiri Kumi wa Nchi hii-10 waislamu-1 Mkristo
Asilimia 78 ya wajumbe wa kamati kuu ya wajumbe wa CCM- waislamu
Asilimia 81 ya wajumbe wa tume ya katiba waislamu
Asilimia 66 ya wakuu wa wilaya waislamu
Mwana
JF
[FONT=Times New
Roman][/FONT]
Tusipokuwa
macho hawa CCM watatugawa kikabila na tutaanza
kupigana,kunyanyapaawatanzania wenzetu na watu kama wakwere
,wazanaki,wandengereko,wamakua nawamwela hawatapata uongozi wa nchi
kamwe kwa sababu makabila ni madogo,CCM sasahivi wametengeneza syndicate
ya kumdharau Nyerere kumshusha hadhi nakumdhalilisha lakini ukweli kitu
alichofanyia nchi yetu kizuri kulikuo yoteilikuwa ni kutuunganisha na
kuondoa ukabila ,Je tumuulize Bulembo Kilimanjaroau Moshi ni Chadema
peke yao au wako CCM na TLP ,NCCR iliwahi kuwa na wabungekule jamani
inadhihirisha sasa kwamba kampeni zao zinafanikiwa Kikwetealipokuwa
anapokea ushindi wa mwaka 2010 alisema uchaguzi ulitawaliwa na
udiniakalalama kwamba ataumaliza sasa sikiliza alivyofanya
Raisi-Mwislamu
Makamu wa Raisi-Mwislamu
Jaji Mkuu-Mwislamu
Mkuu wa Usalama wa Taifa -Mwislamu
Waziri wa Ulinzi-Mwislamu
Mkuu wa Jeshi la Polisi-Mwislamu
Mkuu wa Polisi Kanda Maalumu-Mwislamu
Kati ya wakuu wa mikoa -28- 19 waislamu
Matajiri Kumi wa Nchi hii-10 waislamu-1 Mkristo
Asilimia 78 ya wajumbe wa kamati kuu ya wajumbe wa CCM- waislamu
Asilimia 81 ya wajumbe wa tume ya katiba waislamu
Asilimia 66 ya wakuu wa wilaya waislamu
KIkwete ameingiza mfumo Islamu nina wasiwasi anaposema au anapotuma watu
wakekusema huwa ameshaamua jambo fulani ameshatutenga kidini sasa
atatutengakikabila si mtu mwema hata kidogo kwa mustakabali wa taifa
hili kiongozi mzuriangemtuma mtu akanushe maneno ya Bulembo lakini yeye
anashabikia kwa sababuanataka kuwanyanyapaa wachaga bila sababu,Nape
alisema hivyo hivyo kamaBulembo,Kinana alisema hivyo hivyo kama
Bulmbo,Mwigulu alisema hivyo hivyo kamaBulembo Mtoto wa Kikwete yeye
ndie aliyeapa kwamba Haitakaa itokee kaskaziniitoe raisi ,Mtanzania
mwenzangu tafakari
[FONT=Times New
Roman][/FONT]
Na wakati tunagombania uhuru wazee wa TANU waliompa shavu Nyerere karibu wote walikuwa waislam wavaa baraghashia wa Dar Es Salaam mbona hilo nalo hulalamiki??
Kweli kuna watu wanatumia vichwa vyao kufuga nywele...
Ulikuwa unatiririka vizuri lakini kwa sasa umeamua kutoa lako la rohoni,
nalo si lingine ni chuki yako kwa waislam na uislam. wakristo wapagani
na waislam tumeishi kwa maelewano
Kaka swali langu hujanijibu Denis Msaki ni nani katika siasa za Tanzania tafadhali jibu swlali langu usianze matusilwakatare gaidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
ahasiwe ili ataje mtandao wake. nasikia viongozi wengi wa chdm sasa hivi wanaharisha
Sote tunatambua JF ni kisima cha taarifa, watu wanafahamu mambo mbalimbali ambayo kwa kweli yamefanya Jamvi hili kuwa ndio kitovu cha habari nchini kwa sasa kwa namna nyingine naweza kusema ndio CCN yetu manake tukio linaripotiwa papo papo naombeni wana JF wenzangu nimfahamu Denis Msaki
Ni na Nani kwenye siasa za Mtanzania
Je gazeti la Mwananchi baada ya TIdo Mhando limeamua kujiingiza kwenye siasa za Tanzania mlengo wa CCM
Je Lwakatare angepanga kumgaidi sijui ndio tafsiri raisi au kumpa sumu kwa sababu zipi
Je sheria ya ugaidi ni hii ya watanzania kwa watanzania kutaka kuweeana sumu
Je Denis Msaki huko nyuma amewahi kuwa mwanachama wa chadema
haya basi nifahamisheni mwana JF mwenzenu