Deni la taifa lapanda na kufikia zaidi ya trilioni 40

Mfukutuzi

JF-Expert Member
Feb 15, 2015
239
175
10438315_1219955491352200_5371645969282582986_n.png

Deni la Taifa limepanda na kufikia Shilingi Trilioni 40,hivyo kila mtanzania anadaiwa shilingi laki nane na hamsini na sita (856,000/=).

Umeshajiandaa kulipa?.


Chanzo: EATV

MY take;

Kuendelea kuibakiza CCM madarakani ni sawa na kumkabidhi kibaka Pochi yako eti akushikie kwa matumaini labda kaacha wizi, utaliwa tu.

(Anayebeza haya ni yule asiyejua deni la Taifa analilipa vipi kama Raia na pengine anajua ila ni ushabiki tu usio na maana)
 
utawasikia kisema en bado linahimilika, serikali ya ccm shida kweli, ikumbukwe rahisi anayemaliza muda wake alilikuta chini ya trillion 10
 
nchi ya chukua chako mapema wakiachwa hawa michwa wanaoitwa CCm watatuuza sote
 
10438315_1219955491352200_5371645969282582986_n.png

Deni la Taifa limepanda na kufikia Shilingi Trilioni 40, hivyo kila Mtanzania anadaiwa shilingi laki nane na hamsini na sita (856,000/=).

Ukiambiwa uchangie kulipa deni la Taifa, upo tayari?

 

Attachments

  • deni la Taifa.png
    deni la Taifa.png
    112 KB · Views: 340
Watanzania ni mazuzu,mataahira,mabubu,viziwi na vipovu.tutaburuzwa tu na CCM mpaka tutoke bararani,iweje tunawaangalia viongozi ambao wamelifiksha taifa kudaiwa kwa kiasi hicho?
 
CC....M CC...M CC...M CC....M CC....M

Jamani tuimbe wote huo wimbo
 
Deni la Taifa limepanda na kufikia Shilingi Trilioni 40,hivyo kila mtanzania anadaiwa shilingi laki nane na hamsini na sita (856,000/=).

Ukiambiwa uchangie kulipa deni la Taifa, upo tayari?

MKUU,KULIPA DENI LA TAIFA SIO OMBI..na wala haiitaji kuambiwa maana tayari tulishaanza kuchangia kabla hata hatujafahamu kama tunadaiwa,na tutaendelea kuchangia mpaka kufa kwetu...labda ubadilishe uraia....
 
pesa ndogo sana hiyo. mimi nitalipa kama tu serikali haitakopa tena.
 
Wanakopa kimya kimya hatujui riba kiasi gani wamekopa kiasi gani na zimefanya nn kwa wakati gani tunakuja kuambiwa tuu tunadaiwa 39? Iyo hela ni nyingi sana kama ingekuja tz hata kwa awam awamu.
 
Back
Top Bottom