Mkuu nimekuelewa...!!!! Lakini seriously kuna siku nilikuwa ninaongea na Mfaransa mmoja..., na alisema in not so many words kwamba vitega uchumi ambavyo vipo kanda ya ziwa tu.., kama vingekuwepo kwenye nchi ya watu wanaotumia vichwa vyao na sio tamaa zao, ingewezesha kuendesha nchi nzima..., hivi kwanini hatuwezi kuwalisha east africa nzima..? kama Azam ameweza kutengeneza Juice, kupack unga na kusupply nchi jirani, hivi serikali inashindwa kusimamia vitu kama hivi na kuongeza ajira? tunakalia kusifia ajira za machinga na mabar maid zimeongezeka..., wakati tungeanzisha viwanda kama 50 nchini vingepunguza hao machinga na wakawa na uhakika wa mishahara kila mwisho wa mwezi...,
Na bado maisha yanavyokuwa magumu ndio wizi na ujambazi utaongezeka..., because people have got to eat.
Kuna mabomu huko yanayotungoja in the next five years at most.
Sehemu kubwa ya deni hilo ni "interest rate" payable
Kuna haja ya kufikiri kukopa kutoka kwa taasisi ambazo hazitozi riba (interest) kwa faida ya nchi na wananchi wake.
VoR tulikuwa na National Agricultural Products Boards (NAPB), baada yake ikaja National Milling Corporation (NMC) kwenye 1973 hivi na sasa Azam huyo huyo anatumia karakana na maghala ya NMC tuliyoiua wenyewe. Tanzania ni kheri mara elfu tusingekuwa na hayo madini na gesi labda akili ingefanya kazi. Ardhi ya nyanda za juu Kusini inatosha kabisa kulilisha taifa (ingawa ukweli ni kwamba NSGRP imefurika hivi sasa) ila swali moja kubwa, kilimo chetu kinalipa?
Wizi huu wa juzi wa stakabadhi za pembejeo ulikuwepo toka enzi zile za NAPB na Tanzania Fertilizer Company.
Chanzo kikubwa cha ongezeko la madeni haya ni Multilateral debt relief initiative ambayo tulianza kufaidi ahueni hii kwenye 2004 hivi, tukaanza kutupatupa fedha hovyo tukiudanganya umma na wafadhili kwamba ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Maendeleo yenyewe yamekuwa ni kutunisha mifuko ya Toyota Motors Limited (T), Dowans, IPTL, ile stimulus uchwara, Kagoda na Meremeta, mabenki ya makaburu (revisit ufisadi wa iliyokuwa NBC na restructuring yake kabla ya kuuzwa) na washenzi wengine wasio na hata chembe ya huruma na nchi hii.
Nikiweka kofia yangu ya uchumi, deni hili si la kufanya watu waogope maana nchi inajitosheleza kwa mapato yake ya uuzaji wa bidhaa nje. Madeni ni kitu cha kawaida ila si mtaji huu wa CCM.
Unajua ingependeza kujua asilimia ngapi ya deni la serikali linatokana na mikopo toka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na mafao. Kuna mabomu huko yanayotungoja in the next five years at most.
Nothing comes without strings attached...., Kwa maliasili tulizonazo we dont need kukopa... period.
Si rahisi kutokukopa kabisa kama nchi, (almost imposible)
Issue ni kutafuta mkopo nafuu ambao hauna (compounded interest kama wa IFM, WB)
huyu jamaa akishughulikia tatizo la umeme litamsaidia kuongeza uzalishaji...
eti mnasema ni economist...... du udsm kazi ipo
Si rahisi kutokukopa kabisa kama nchi, (almost imposible)
Issue ni kutafuta mkopo nafuu ambao hauna (compounded interest kama wa IFM, WB)
Si rahisi kutokukopa kabisa kama nchi, (almost imposible)
Issue ni kutafuta mkopo nafuu ambao hauna (compounded interest kama wa IFM, WB)